Tenda zimejaa upigaji wa kutisha. Sintoshangaa zikiletwa camera feki.Angalia taa za sola za barabarani, zinawaka mwezi mmoja tu toka kufungwa baada ya hapo zinazima "and no one cares."!!Hii ndo bongoland inayotegemea akili za akina Msukuma.
Sintoeleza kwa kina kitaalamu jinsi hizo sumu zinavyoathiri Bionuai(Viumbe na mazingira) ila kwa kifupi dawa za magugu hazina tofauti na bomu la nyuklia.Tofauti yake ni kwamba madhara ya dawa za magugu ni ya polepole.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.