Duuu kwel akil ni mali... kwaiyo mkuu huyu mdau wako yuko karibu na dr na mbowe na mzee mtei wote au docta ndo alikua anamwambia kwa sasa lissu tumemsemea kwa mbowe halafu badae akamwambia wamesema kwa mteii.. ??shtuka blazaa unadeal na watu timamu kilazaa mkubwa ww
Hata wale wenzako walipigana unadhan walipewa bure.. ndo maana boss wenu aliweka wazi ukitaka kula nawe lazima uliwe... jianda kuliwa na safar hii nasikia mlaji ni yule sura mbaya ya kule mara..
Huelewi ni sasa kuwa mwanaCCM ndo kukubaliana na kila kitu ambacho CCM wanafanya regardless ni kizur au kibaya?!.. nini maana ya democrasia...??! Hii ndo shida yetu watanzania wengi kushabikia hadi mambo ya kijinga kisa tu kimesema au kufanya chama chako cha kisiasa .
Ebo huyu baba busara kapeleka wap?? Ye ndo bondia wa serikali kila siku anataka kupigana yeye tu.. mara na kafulila leo na sophia simba ... tumchukue tupelekee madola huenda akarudi angalau na shabaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.