"'""Shibuda asema atawaeleza wananchi kuhusu maovu ya Mbowe na Zitto na ubinafsi CHADEMA 03/07/2011
Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda, amesema hatishiki na vitisho vinavyofanywa na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na yuko tayari kufukuzwa katika chama...
"'""Shibuda asema atawaeleza wananchi kuhusu maovu ya Mbowe na Zitto na ubinafsi CHADEMA 03/07/2011
Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda, amesema hatishiki na vitisho vinavyofanywa na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na yuko tayari kufukuzwa katika chama...
yaan nasikia hadi kichefchef kumsikia mtu tena kijana mwenye akili timam anasema cdm ni ndoto kushika nchi ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,hivi kijana amerogwa au?lakin kweli c unajua wanamajimarefu?
Mh.Tundu Lisu ameitaka serikali kumshaki Adrew chenge kwa wizi wa mabilion ya pesa za walipakodi lakini msemaji wa serikali anamjibu eti awapeleke wahusika mahakaman kama anaushahidi je wanajamvi inamaana hiyo report ya mtafiti kutoka Uingereza haikuifikia serikali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.