Recent content by kama77

  1. K

    JamiiForums Tanzania Ombi: Azam TV tunaomba muandae mdahalo kati ya Lowassa na Dr. Magufuli

    Unataka kusikiliza Sera mwaka huu tena kupitia midahalo ... Kumbuka miaka zaidi ya hamsini umesikiliza bilabila na mwaka huu unataka Sera tena. Jitambue ndugu.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kutoka Morogoro: Mkutano wa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

    Ndugu chaguzi ngapi unasikiliza Sera za vyama zimekusaidia na kutekelezeka? Mwaka huu usidanganyike na Sera au porojo za kwenye majukwaa ya kampeni. Fanya maamuzi yako mapema.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kutoka Morogoro: Mkutano wa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

    Kidumu chama cha mapinduzi!!!!!
  4. K

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri UKAWA na Waandishi: Wajibu tuhuma za Dr. Slaa

    Akili za kuambiwa changanya na zako. Kumbuka kujiongeza
  5. K

    JamiiForums Tanzania Kwa jicho la kiroho: Sakata la Dr. Slaa

    mshana jr Mshana Jr. Hakika umene kweli.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Sasa ni kuwapeleka kasi tu,kwenye kona speed 120.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Risasi ya Mwisho ya maccm imekosa target.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Watanzania msipoteze muda na hotuba zisizo na tija mabadiliko ayakwepeki

    Hata wakiweka kivuli na magufuli kama enzi za mwalimu tunapigia kivuli
  9. K

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Slaa imepunguza kura zipi kati ya hizi kwa Lowassa?

    Risasi ya Mwisho ya maccm imekosa tagert
  10. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nataka kujenga kwa mkopo wa Tsh 40,000,000/=

    Hiyo nyumba kubwa sana mkuu. Nyumba ya Tofali 2200 inatosha kabisa kwa pesa take an finishing. Pia inategemea anajenga location gani kwa hapa dar. Mafundi wanaangali pia location ya ujenzi.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nataka kujenga kwa mkopo wa Tsh 40,000,000/=

    Nyumba unamaliza kwa hiyo pesa nyingi sana kwa nyumba zetu za kawaida mwanyewe nipo katika zoezi ilo na 35m tu. Mambo yanaenda vizuri tu nasimamia mwenyewe
  12. K

    JamiiForums Tanzania Ikulu: Eliakim Maswi hakuhusika na uchotaji fedha Tegeta Escrow

    Hii ndio Tanzania tunayoitaka baada ya miaka 50.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Hongera TRA kwa kuweka Kikokotozi ambacho ni user friendly

    Mleta mada na wachangiaji wote mbarikiwe mada imekuja wakati mwafaka kwangu. Asanteni sana
  14. K

    JamiiForums Tanzania Mch. Dr. Getrude Lwakatare: Tumefunga siku 3 mfululizo bila kula chochote

    Kwa imani ni kawaida sana. Katika mwili ni ngumu
  15. K

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli nguo nyekundu ni hatari kama kuna radi?

    Imani za kale hizo
Back
Top Bottom