kwa mtu mwenye akili timamu awezi beza umati wa watu wanao mpenda lowassa na ukawa
kwa mtu mwenye kusoma majira na nyakati ana aja ya kuendelea kumchafua mtu anayependwa na watu
ameanza kupendwa tangu yupo ccm na sasa yupo ukawa
Tusome majira na nyakati
Tunatunga na kuandika vipindi vya Television na radio
Tayari tumekamilisha kazi za kutosha filamu,Tv program ,radio program na music
kama una miliki kampuni la video production/multimedia production tunakukaribisha uweze jipatia kipindi chako cha television tunaitaji mtu au serious company...
hivi ukabira mbona wana utangaza sana msanii mkubwa kama wewe unatangaza ukabira wewe kweli ujitambui nenda kaombe uanachama Ukawa kama utaulizwa dini au kabira lako au tuletee ushaidi kama kuna mtu kafukuzwa UKAWA sababu ya ukabira ww umesha lamba POSHO yako waacheni wa Tz kufanya maamuzi yaho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.