Recent content by KAMA UTANI

  1. K

    Zijue baadhi ya koo za Kizaramo, asili na maana yake

    Hahaaa hata warangi na wajita wanaongea haraka.Uharaka katika lugha ulioimaster inategemea na lugha yako ya kwanza.Kama lugha yako ya awali iko slow pia itaathiri lugha ya pili.
  2. K

    Chimbuko la wazaramo

    Hii inaonesha kuwa hakuna mtu mwenye uhakika na kabila lake kiasili.Watu wanapata wapi ujasiri wa kutukana kabila lingine ikiwa huenda kabila hilo asili yake ni kwenu.Tena kabila linaloongezwa kwa kudharauliwa ni wazalamo. Kila kabila likichambuliwa utamaduni zao itakuwa hatari.
  3. K

    Ushoga katika taifa la Israeli

    Watanzania tuna ushabiki sana na pia hatupendi mtu mwingine azungumze mabaya wa kile wanachoamini wao hakina dhambi (kitakatifu) hata kama anaona kwa macho yake.Maeneo ambayo mitume na manabii walipelekwa ujue watu wake walikuwa ni wagumu sana kuelewa masuala ya Mungu muumba kwa kipindi hicho...
  4. K

    Msaada wa namna ya kubadili jina la kwenye cheti cha kuzaliwa

    Msaada,nataka kubadili majina yangu Kwenye vyeti vyangu vya taaluma na cheti cha kuzaliwa
Back
Top Bottom