Ndugu yangu paskali naunga mkono hoja Ila wenye nchi hawataki kusikia swala la mgombea binafsi ndo maana wengine walienda mbali wakamnasa makofi mzee warioba kwa kosa la kupendekeza katiba ya wananchi naamini unakumbuka
Alisema swala la tundu lissu kupigwa risasi na ukimya wa serikali ya mh magu. Akohoji inawezekana walimshuti, alinukuu maneno aliyotamka mh tundu lissu mwenyewe alipoituhumu serikali kutaka kumuua
Amani iwe nanyi, ndugu zangu wanajamvi naomba nifafanue kuhusu kesi inayomkabili Sugu na wabunge takribani wote wa CHADEMA.
Alichokifanya Sugu ni siasa na katika nchi ya kidecrasia siku zote hoja za kisiasa hujibiwa kwa hoja za kisiasa na sio mahakamani. Ingekua katoa lugha ya matusi kamtukana...
Amani iwe nanyi, natoa rai kwa serikali sikivu ya ccm chini ya mh magu kuwakamata mafisadi hawa na kuwapeleka mahakama ya mafisadi ili haki itendeke.
Inashangaza wezi wanajulikana kwanini hawakamatwi na badala yake wanakamatwa kina lema na sugu? Kutoa lugha isiofaa na kuhujumu uchumi lipi kosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.