Recent content by Kalung'ango

  1. K

    UTEUZI: Hoseah Ezekiel Kashimba ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu PSSSF

    Hahahaa!!!! Sanga namjua vyema. Alikuwa mshenzi sana huyu jamaa. Anastahili yaliyompata.
  2. K

    Nashangazwa na kusikitishwa na wanaoshabikia ziara ya Lissu Uingereza

    Pamoja na Ushauri wako mzuri kwa ndugu yetu Lissu, tafadhali fikiria maumivu aliyopitia. Fikiria pia alivyotelekezwa na Bunge kuhusiana na kumlipia gharama za matibabu. Uzalendo ungeonyeshwa kwanza katika matibabu ya mtanzania mwenzetu, tena Mheshimiwa mbunge, ndipo tuwe na locus standi ya...
  3. K

    Kwa hili la vitambulisho vya Rais Magufuli naomba nitofautiane

    Gharama ya kutengeneza kitambulisho kimoja nadhani haiwezi kuzidi Tshs. 1,000/-. Machinga anauziwa kwa Tshs. 20,000/-. Jaalia tuwe na wamachinga milioni tatu nchini kote; maana yake hapa ni kuwa Serikali itakusanya Tshs. 19,000/- x 3,000,000 = 57,000,000,000/-. Bilioni 57 kwa mwaka sio fedha...
  4. K

    Ubelgiji: Upasuaji mkubwa wa mguu wa Tundu Lissu, umemalizika salama kwa mafanikio makubwa

    Mungu Mkubwa. Hakika, nusra ya Mheshimiwa Lissu is what we call 'divine intervention'. Wasiojulikana, watajulikana siku moja. 'Divine intervention' itawaumbua siku moja. Nothing is permanent under the Sun.
  5. K

    Bila upinzani, Tanzania ingekuwa zaidi ya Japan kiuchumi

    Mleta mada, pole sana. Naona baadhi ya watu hawakuelewi kabisa!!!! Loh, poor Tanzania!!! Tuna safari ndefu sana ya ukombozi wa fikra za watanzania walio wengi. Hawaelewi 'ironic statement'. Huu ni msiba mzito sana. Nakumbuka zamani tukiwa wadogo, mzazi anakuchapa fimbo, kisha anakupa pipi...
  6. K

    Tundu Lissu amtaka Msajili wa vyama vya siasa asiitishe CHADEMA, ajitafakari Kwanza

    Imran Kombe aliuawa enzi za utawala wa Mkapa, na sio utawala wa Mwinyi. Thanks. kipindi cha
  7. K

    Tundu Lissu kwenda nchini Ubelgiji kwa matibabu zaidi

    Mwenyezi Mungu amtangulie ndugu yetu, Mheshimiwa Tundu Lissu. In Shaa Allah, atapona kwa nguvu za Mwenyezi.
  8. K

    Mungu ametupa zawadi leo kwa Mbunge Tundu Lissu kusimama kwa mara ya kwanza kwa msaada wa Physiotherapist

    Mungu ni Mkubwa!!!! Alitakalo huwa, asilotaka haliwi, "Kun-Faya-Kun". Kusimama tena kwa kaka yetu mpendwa Tundu Lissu ni uthibitisho wa uwezo usiomithilika wa Mwenyezi Mungu. Ni ushindi dhidi ya mauti, ni ushindi dhidi ya dhulma, ni ushindi dhidi ya uonevu, ni ushindi dhidi ya ukandamizaji wa...
  9. K

    Zito

    Nakubaliana na maoni na ushauri wa Mh. Zitto Kabwe. Tufike mahali PAP ilazimishwe kulipa deni la SCB-HK na kurudisha alibaki kwa Serikali ya Tanzania. Kisha hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya wote waliohusika na utapeli huu mkubwa.
  10. K

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mwenyekiti wa bodi ya udhamini ya Mfuko wa Pensheni wa LAPF

    Mkurugenzi Mkuu wa LAPF, bwana Eliud Sanga, anamiliki shule ya kifahari ya Fountain of Joy, ipo pale maeneo ya Kimara. Inasemekena katika siku za karibuni, alifanya upanuzi wa kufuru wa shule yake hiyo kwa kununua majumba na viwanja vinavyozunguka eneo la shule kwa gharama ya mabilioni ya...
  11. K

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mwenyekiti wa bodi ya udhamini ya Mfuko wa Pensheni wa LAPF

    Jana kuna member mmoja alitutaarifu kuhusiana na kutumbuliwa kwa Bodi ya Wadhamini ya LAPF Pensions Fund. La kushangaza leo haionekani. MODS tafadhali sana irudisheni watu wachangie. Tunataka kuisaidia Serikali ijue uchafu na uozo uliopo ndani ya Mfuko wa LAPF. Kwanini mmeiondoa, ilhali mnaacha...
  12. K

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mwenyekiti wa bodi ya udhamini ya Mfuko wa Pensheni wa LAPF

    LAPF yapo madudu mengi zaid ya mnavyofikiria. Big up Mheshimiwa rais, Dr. John Pombe Magufuli kwa hatua ulizochukua. Bado baadhi ya wakurugenzi mle ndani ambao walishajifanya Mfuko ni kama NGO yao binafsi. Mkurugenzi Mkuu, Eliud Sanga alijikopesha magari mawili ya kifahari. Mkurugenzi wa fedha...
  13. K

    Nchi hii tuna viongozi wa dini wanafiki sana

    Maneno kuntu sana! Unafiki unalitafuna Taifa hili.
  14. K

    Wabunge wa CCM wanaoipinga bajeti watakiwa kurudisha kadi za chama

    Haya twendeeee 1 2 3.... Hatunywi sumu hatujinyongiiiiCCM mbele kwa mbele Hatunywi sumu hatujinyongiiiiHatunywi sumu hatujinyongiiiiCCM mbele kwa mbeleChaguo letu milele tumeipenda wenyeweChaguo letu milele tumeipenda wenyeweWaacheni waandamane eeehhhCCM mbele kwa mbelewacha waisome namba eeehhh...
Back
Top Bottom