Pamoja na Ushauri wako mzuri kwa ndugu yetu Lissu, tafadhali fikiria maumivu aliyopitia. Fikiria pia alivyotelekezwa na Bunge kuhusiana na kumlipia gharama za matibabu. Uzalendo ungeonyeshwa kwanza katika matibabu ya mtanzania mwenzetu, tena Mheshimiwa mbunge, ndipo tuwe na locus standi ya...
Gharama ya kutengeneza kitambulisho kimoja nadhani haiwezi kuzidi Tshs. 1,000/-. Machinga anauziwa kwa Tshs. 20,000/-. Jaalia tuwe na wamachinga milioni tatu nchini kote; maana yake hapa ni kuwa Serikali itakusanya Tshs. 19,000/- x 3,000,000 = 57,000,000,000/-. Bilioni 57 kwa mwaka sio fedha...
Mungu Mkubwa. Hakika, nusra ya Mheshimiwa Lissu is what we call 'divine intervention'. Wasiojulikana, watajulikana siku moja. 'Divine intervention' itawaumbua siku moja. Nothing is permanent under the Sun.
Mleta mada, pole sana. Naona baadhi ya watu hawakuelewi kabisa!!!! Loh, poor Tanzania!!! Tuna safari ndefu sana ya ukombozi wa fikra za watanzania walio wengi. Hawaelewi 'ironic statement'. Huu ni msiba mzito sana. Nakumbuka zamani tukiwa wadogo, mzazi anakuchapa fimbo, kisha anakupa pipi...
Mungu ni Mkubwa!!!! Alitakalo huwa, asilotaka haliwi, "Kun-Faya-Kun". Kusimama tena kwa kaka yetu mpendwa Tundu Lissu ni uthibitisho wa uwezo usiomithilika wa Mwenyezi Mungu. Ni ushindi dhidi ya mauti, ni ushindi dhidi ya dhulma, ni ushindi dhidi ya uonevu, ni ushindi dhidi ya ukandamizaji wa...
Nakubaliana na maoni na ushauri wa Mh. Zitto Kabwe. Tufike mahali PAP ilazimishwe kulipa deni la SCB-HK na kurudisha alibaki kwa Serikali ya Tanzania. Kisha hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya wote waliohusika na utapeli huu mkubwa.
Mkurugenzi Mkuu wa LAPF, bwana Eliud Sanga, anamiliki shule ya kifahari ya Fountain of Joy, ipo pale maeneo ya Kimara. Inasemekena katika siku za karibuni, alifanya upanuzi wa kufuru wa shule yake hiyo kwa kununua majumba na viwanja vinavyozunguka eneo la shule kwa gharama ya mabilioni ya...
Jana kuna member mmoja alitutaarifu kuhusiana na kutumbuliwa kwa Bodi ya Wadhamini ya LAPF Pensions Fund. La kushangaza leo haionekani. MODS tafadhali sana irudisheni watu wachangie. Tunataka kuisaidia Serikali ijue uchafu na uozo uliopo ndani ya Mfuko wa LAPF. Kwanini mmeiondoa, ilhali mnaacha...
LAPF yapo madudu mengi zaid ya mnavyofikiria. Big up Mheshimiwa rais, Dr. John Pombe Magufuli kwa hatua ulizochukua. Bado baadhi ya wakurugenzi mle ndani ambao walishajifanya Mfuko ni kama NGO yao binafsi. Mkurugenzi Mkuu, Eliud Sanga alijikopesha magari mawili ya kifahari. Mkurugenzi wa fedha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.