Recent content by kalitini

  1. K

    Pinda afuta amri ya Waziri Magufuli

    Magufuri ni jembeeeeeee,mnataka watu zaifu??????tumpe vyeo kati ya viwili muone RAis Au waziri mkuu
  2. K

    Lady Jaydee akiwa mahakamani leo...

    Wabongo tuna matatizo sana na zarau za kipuuzi,sasa j anaweza akawa mlinzi???? Tuache tabia hizo.
  3. K

    Wafungwa wa Kitanzania waliokamatwa na madawa ya kulevya Hong Kong wafunguka!

    Itangazwe ofa,kwa wale wanaobebeshwa wawataje matajiri wanaowatuma,mbona wanaotumwa tunawafahamu wekeni $ mezani mtu akitaja tajiri mkubwa anapewa $ 10,000 na serikali na vithibitisho tutavitoa 100% swala litakuwa limefikia mwisho wabaki kuwakamata tu
  4. K

    Watanzania wawili wakamatwa na madawa ya kulevya Hong Kong

    Wawe wanawatoa picha na majina yao
  5. K

    Upendo kwa mama; Diamond anamjengea mama yake nyumba ya TZS 260M

    kwahiyo kama ni za show 26 hana matumizi?halipi wasaidizi wake?haweki ata gari mafuta?haongi?kama yite hafanyi basi ni masikini tu huyo
Back
Top Bottom