Kwa wasiokuwa na akili kama wewe wamefunguliwa akili na Magufuli lakini wenye akili tunajua yote hayo ni kwa sababu marais waliomtangulia waliwaachia watu uhuru wa kusema,ndipo pakaibuka watu kama akina Lipumba,Mrema,Mbatia,Tundu Lissu,Zitto Kabwe,Mbowe nk.
Hivi mafisadi kipindi cha Magufuri walikuwa Chadema eti??? Tangu 1961 chadema ilikuwepo zwzwa wewe??? Hao mafisadi hatukuwaona kipindi cha Magufuri labda chadema na wengine wako nje ya nchi kama vile Tundu Lisu na Lema.
Katika wizi wote wa taifa hili kuna mahali popote wametajwa hao???Mbona John...
Mwasisi wa uongozi Tanzania ni Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na si vinginevyo labda kama ulikimbia shule utaona magu ni mwasisi hii nchi kaachiwa kwa roho safi yeye kaitumia vibaya na kufia madarakani bila ya ridhaa yake hapo ameasisi nini?
Umeme kila siku ulikuwa unakatika si chini ya mara tano kwa siku hivi ninyi watu ni vipofu eti,umeme unasumbua kila siku wewe unakuja na hoja mfu kuwa umeme hausumbui,kumbe kuwa ccm ni upumbavu nimeamini.
Michakato ya kisiasa siyo uchaguzi kugombania udiwani,ubunge au urais bali ni pamoja na kuwa na taasisi huru isiyoingiliwa na upande wowote mfano.Chama tawala,msajili wa vyama vya siasa,vyombo vya ulinzi na usalama,wakuregenzi,bunge,serikali,nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.