Ichagueni ukawa hata kama itasimamisha mbwa kwa sababu ccm ina miaka zaidi ya 50 madarakani lakini kila siku inaturetea ahadi
magufuli ni mzuri tatizo yupo ccm!
Tuiondoe ccm japo miaka mitano jamani kisha tutairudisha 2020 ikiwa imeshatambua kuwa watanzania wameshtuka na wanataka watu wafanyr...
CHACHA WANGWE ALIKUFA CHAMA KIKAENDELEA KUWA IMARA
ZITO AKANUNULIWA CHAMA KIKAENDELEA KUWA IMARA
LIPUMBA AKASEPA UKAWA IKASIMAMA
AKASAJILI MESI
AMESAJIRI MARADONA
DAH!...hebu taja tukio moja na born town MBOWE ambalo limekufurahisha!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.