Mada kama hizi ndio zinaonyesha jinsi mtu mweusi alivyo na akili ndogo ,imagine hapa watu weusi wamejigawa makundi mawili kila mtu akimtetea watu ambao ni useless to Africa
Elimu ya Tanzania inazalisha watu wajinga wengi sana ,huyu usikute ni degree holder.
Russia amemega zaidi ya 20% ya ardhi ya Ukraine mpaka sasa na anaendelea kusonga mbele.
Ukisoma comments za huu uzi ,watu wamegawanyika wapo waofurahia na wapo wasiofurahia .
Inshort ni ukristo na uislamu,,
Yaani watu weusi wamegawanyika kila mtu akimtetea slave lord wao,
Kuwa mtu mweusi ni janga .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.