[FONT="Arial Black"][I][SIZE="4"]asante mwana kijiji, kali za wajumbe imepitia sababu za prof hapo juu,huyu jamaa naweza kusema ametumia akili sana katika kuaanda vigezo vyake ,kweli shule ilitumika katika uandikaji ijaribu kupotosha jamii kwa kujizungusha tu,huyu bwana ni udini tu ndio unao...
wadau ,kabla sija wa member hapa ,nilikuwa napenda sana kufuatilia mijadala humu jf,tafadhali tuna omba wadau mtu asi come up na stori ya kutunga tuu,kwani kuna watu wapo nje huku hivyo kwa namna moja au nyingine munatutoa off trck(poteza).mjue mkiacha magazeti mitandaoni ni jf tunategemea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.