Kwanza Kabisa nampongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa jitihada zake za kuboresha mazingira ya shule za msingi nchini lakini ninachotaka kusema ni kuwa waziri wako wa elimu ameshindwa kabisa kufikia matamanio yako ya kuona watoto wa watanzania wanyonge wanapata elimu bora kama watoto wao...
Hivi karibu Waziri wa Ardhi Mhe.Angelina Mabula akiwa ziara arusha aligudua uwepo wa hati feki na kauli ya serikali aliitoa hapo tunapaswa kumpongeza sana lakini kwa jicho la kiuandishi wa habari mimi nahelea sana kwa kauli
Nimeongea na Kada wa CCM Mkoa wa Mwanza na Mwenyekiti wa Serikali ya...
VIONGOZI WA KITENGO CHA ARDHI JIJI LA MWANZA LINATUUMIZA WANACHI WALALA HOI
Kada wa CCM Abubakar Hassan Self amemuomba Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan Kuingilia kati mgogogro wake viwanja na Halmashauri ya Jiji la Mwanza uliodumu kwa miaka 35 kama mgogoro wa Eneo la Rwagasore lilivyotatuliwa...
NAWAPA POLE SANA NDUGU ZANGU WA BUKOBA KWA JALI YA NDEGE KWELI TUMEUMIA SANA ILA NAOMBA SASA IWE FUNZO LA NCHI KUANGALIA JALI KAMA HIZI ZISIPOTEZE MAISHA YA WATU NA SASA NAWAPATIA UFUKUNYUNGU WA SIRI SERIKALI ANGALIENI KIVUKO CHA KAMANGA FERRY IPO SIKU TUTALIA TENA NA KUSAGA MENO ASALAMAA...
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan,
Natumaini u buheri wa afya.Kwanza nakupongeza sana Rais wangu Mhe.Samia Suluhu Hassan kwa jitihada unazozifanya katika kuwaletea wananchi maendeleo,kwa kutafuta pesa nje na ndani ya nchi yetu Hongera sanaa kwa hatua hii nchi yetu inaendelea kupiga hatua za...
Ukifika Kamanga Ferry utaona Sheria za TASAC,TPA zinavyokanywagwa lakini ngoja iseme neno moja likitokea la kutokea hapo kamanga ferry msiseme tuwaombee kazi ya Mungu haina makosa ama shetani kwa maana tatizo linajulikana pia leo sisi tunaotafuta kazi katika ujenzi wa SGR umekwama kipande cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.