Kumekuwa na changamoto kubwa sana ya ajira kwa sasa. Wanafunzi wanaohitimu vyuo mbalimbali kwa mwaka ni wengi kuliko nafasi zilizopo katika sekta ya umma na sekta binafsi.
Ushauri wangu kwa Serikali ni kama ifuatavyo :-
1. Ili kuepuka lawama ambazo zinaweza kuepukika ni vyema vyuo vikapewa...
Nakumbuka kamsemo kazamani kidogo pale mtu unapopata kitu kizuri halafu bado unalalamika. Utasikia mtu anakuambia 'Mungu akupe nini, au gunia la chawa?
Hii ni kauli ambayo inatolewa kwa watu ambao hawana shukrani, hawana jema. Kila kitu kwao kibaya. Ukiwa mkali utasikia dah, fulani mkali sana...
Kuwa mtu wa vitu halisi hakuji kwa kusoma magazeti ya udaku na kushinda kwenye blog/group za udaku kutwa nzima. Kuwa mtu wa vitu halisi kuna jengwa kwa kusoma vitabu, articles na journals mbalimbali. Kusoma tafiti mbalimbali zilizofanywa na wataalam wa sekta mbalimbali.
Aina ya watu unaoishi...
Habari ya leo ndugu zangu,
Nachukua nafasi hii kumpongeza kwa dhati kabisa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr John Magufuli kwa jinsi anavyolihudumia Taifa hili kwa weledi wa hali ya juu.
Inward looking strategy kwa kifupi ni mkakati unaotumiwa na nchi kwa kuhakikisha unatumia...
Habari ya leo ndugu zangu, namshukuru Mungu naendelea kupumua pumzi hii adimu. Hofu kwenu mlio mbali na upeo wa macho yangu.
Leo nataka kuongea na Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli:-
1. Kukupongeza kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu...
Habari ya leo ndugu zangu,
Nilikuwa naangalia taarifa ya habari ya saa 2 usiku wa leo tarehe 28/08/2016 kupitia ITV.
Nimemuona Mhe Mwigulu Lameck Nchemba, Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi kwa masikitiko makubwa akieleza kuwa kuwa baadhi ya watanzania ambao wamepongeza watu wanaodaiwa kuwa...
Habari ya usiku huu ndugu zangu,
Namshukuru Mungu naendelea vizuri na natumaini hata wewe unaendelea vyema.
Napost uzi huu nikijua vyema kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, kijana mchapakazi, mwerevu, mbunifu na jasiri Paul Makonda pamoja na kijana mwenzie mwenye sifa zinazoshahabiana na hizo...
Acha kupotosha watu,
Taarifa yako haina ukweli wowote. Ni bora kama hujui kitu ukauliza, kuuliza si ujinga.
Viwango vya malipo ya waheshimiwa Madiwani vipo kwa majibu wa Sheria. Posho ya Diwani inalingama na ya mkuu wa Idara. Na ya Mwenyekiti au Mayor inalingana na ya Mkurugenzi.
Posho...
Habari ya leo ndugu zangu,
Zimebaki takribani siku 10 kuelekea Septemba 1. Siku ambayo kila mmoja anaisubiri kwa namna yake.
Wapo wanaoisubiri ili wafanye kile walichodhamiria, na ambacho nafsi zao zinawaelekeza kuwa wapo sahihi. Wanadai wataandamana na watafanya mikutano ya hadhara kila...
Habari ya asubuhi ndugu zangu,
Namshukuru Mungu nimeamka salama nikiwa na afya njema, naamini na nyie mpo salama kwa kadiri ya kila mmoja alivyojaaliwa na Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema.
Pamoja na changamoto mbalimbali tunazopitia kama nchi ila pale jambo jema linapofanywa ni vyema kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.