Ni KANUNI moja tu ni ku balance mapenzi pande zote mbili. Haina haja ya chuki za bila mpango kamwe kamwe manaume hawezi kukubali mama yake anyanyaswe na vitimbi vya kila aina . Naamini mapenzi yakiwa mazuri two sides ndoa itakua superb.
Mkuu mke wangu alianza kubadilika kuona kama mimi sina uwezo wa kununua nyumba hapo ndio ilianza kasheshe za viburi na nadhani anapewa maneno na mama yake . kwani ni lazima kuwa na nyumba kama uwezo hamna ? Hata mimi natamani kua na nyumba lakini ndio hivyo. Alikua ananilazimisha kila mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.