Recent content by kalagwena

  1. kalagwena

    Ushauri kuhusu ununuzi wa magari

    .mkuu agiza toyota CROWN matoleo ya kuanzia 2005 - 2008. kwa bajeti yako chenji itabaki na hii gari itakupatia heshima.
  2. kalagwena

    Nataka kuagiza Toyota Crown. Nitenge bajeti kiasi gani?

    KIMOMWEMOTORS Mkuu nataka kuagiza toyota crown royal saloon ya mwaka 2008, cc 2500 na mileage kama km 115000. Mpaka unanikabidhi nitenge Tshs ngapi?
  3. kalagwena

    Naomba msaada wa gari RAV4

    kama kweli kahesabu hizo millioni na akavuta hiyo "RAV 4" ni kilaza wa kutupwa.
  4. kalagwena

    Naomba msaada wa gari RAV4

    mleta uzi apewe onyo "wana JF hatujaribiwi"
  5. kalagwena

    Msaada eti gari hii inaweza kurudi kwenye hali yake ya kawaida?

    ushauri mzuri sana aliokupa Boeing 747 nakuomba uuzingatie. mbeleni utamkumbuka !
  6. kalagwena

    Injini ya pikipiki

    wala huitaji injini "used" kanunue mpya zipo nyingi madukani. hiyo used huwezi jua kwa nini mwenye aliiteremsha. itakusumbua mbeleni.
  7. kalagwena

    Nunua gari achana na maswali yasiyo na msingi

    hiyo ni kweli kabisa. sitegemei kama maswali ya aina hiyo yataulizwa tena humu JF
  8. kalagwena

    MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

    spare za shineray nyingi mno madukani na bei ni nafuu sana.
  9. kalagwena

    MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

    shineray xl 150 (offroad) ndo jibu mkuu. mimi naishi kijijini ninayo na inamudu vizuri mazingira ya huku. bei yake ni m 2 . 3 mpya.
  10. kalagwena

    MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

    mkuu kama unaishi au unatembelea maeneo yenye miundombinu ambayo si rafiki chukua shineray xl 150 itakufaa.
  11. kalagwena

    Natafuta gari aina ya Toyota Crown Athlete series.

    hongera mkuu. ukiikosa crown chukua brevis Ai 250 model 2005 - 2007 hutojutia.
  12. kalagwena

    Wabunge wamchoka Mbunge Kiruswa kwa kugongea lifti

    hii kali ! kuna ndugu zangu kule kaskazini ambao hula ugali na picha ya samaki, isijekuwa anatokea huko.
  13. kalagwena

    Kuagiza gari hadi kulipia kodi ya bandari

    hongera mkuu. ili kufahamu kodi za serikali ambazo unatakiwa kuzilipa, ingia www.gateway.tra.go.tz
  14. kalagwena

    Naomba Ushauri: Kati ya BMW 3 Series 2006 model na Subaru Legacy B4 Sports 2006 model

    Write your reply...kama mkwanja upo vuta bmw, ila kwa ushauri wangu na vigezo ulivyovitaja kamata subaru hutajutia.
Back
Top Bottom