Nijuavyo mimi,wakati muungano unafanyika mwaka 1964 vyama vilivyokuwa vinatawala ni ASP kwa zanzibar na TANU kwa upande Tanganyika.CCM ilizaliwa 1977.Hivi kweli ccm ni waasisi wa muungano?.chanzo Nape nnauye itv
Mimi siamini kama hao waliozomea ni wahuni,kwa sababu wengi wamechaguliwa na wananchi na wengine wamechaguliwa na mh Rais.Mimi nadhani waliozomea wana sababu! Wasikilizwe.
Nakumbuka kuna mwanafalsafa mmoja alikuwa anatembea na karabai inayowaka gulioni,alipoulizwa mbona umewasha taa mchana?alijibu ni mchana lakini watu hawaoni!haya ndiyo ya watz
Kama ningekuwa na uwezo ningewashauri wanachadema wote wasihangaike kabisa na ACT kwani siyo saizi yao kabisa! Wanataka kupata umaarufu kupitia cdm,achaneni nao kabisa! Sawa yenu ni ccm tu!wapuuzeni kabisa act.
Niseme tu ukweli,kitendo zitto alichowafanyia watanzania haswa wanamageuzi waliokuwa nyuma yake,hatakaa apate nafasi yoyote ya kuchaguliwa na jamii.Ni pamoja na laana ya mungu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.