Recent content by KALABASH

  1. K

    Mahakama inalalamikiwa kukosa kutenda haki kesi ya Lisu

    Hivi wewe kiengereza unajua kukisoma na kukiandika?
  2. K

    inatia simanzi: Conclusion by hon Lissu

    Who is this monster NYANI NGABU who is always anti progressive ideas? What has he got against Tundu Lissu? I am curious!!!
  3. K

    Gazeti la Mwanahalisi Hongereni kwa makala za uchambuzi

    Kwangu mimi na kwa wale wenzangu tusioegemea upande wa vyama vya siasa ni faraja kubwa kupata gazeti la MWANAHALISI linalotoka kila Alhamisi nchini Tanzania. Kwangu mimi ni chombo pekee katika Print Media ambako naweza kupata uchambuzi makini{analytical} wa maswala mengi ya kisiasa na...
  4. K

    Tundu Lissu ni clever but not Intelligent person. Ni Kiongozi mwenye papara sana na hana utulivu kabisa

    You are clever but not intelligent. I have read your brief. There isnt much substance that shows you are intelligent. Clever may be!!!
  5. K

    TLS pamoja na Mwabukusi waziombe radhi Simba na Yanga hadharani kwa kuzitolea kauli za hovyo

    Mwabukusi kaongea ukweli mtupu. Watanzania hawana muda na mambo ya kujadili mambo ya msingi yanoyahusu maisha yao isipokuwa wana muda mwingi sana kwa ajili ya Simba na Yanga na watawala(hasa chama tawala) wanalijua hilo na wanatumia vizuri sana kisiasa na kwa manufaa yao huu ushabiki wa...
  6. K

    Zanzibar Business and Property Registration Agency( BPRA) nahitaji majibu kutoka kwenu

    Leo nimejaribu kufungua account ya kimtandao ya Online Registration System (ORS) katika taasisi ya Business and Property Registration Agency(BPRA).Taasisi hii iko Zanzibar na inafanya shughuli zinazofanana na zile za BRELA. Katika utambulisho wa mfunguaji akaunti kwa maana ya...
  7. K

    Paul Makonda's resilience and character serve as an inspiring example for all of us

    Please do not generalize. Who is "WE"? You and your wife perhaps? He could be an inspiración to you but an anathema to a majority of people.
  8. K

    Rais Samia Atoa milioni 100 kwa ajili ya Ukarabati kanisa la Katoliki Manyara

    Katoa millioni 100 kutoka kwenye akaunti yake binafsi? Fafanua tafadhali.
  9. K

    Ushauri kwa Waziri Dotto Biteko: Kama Makamba Ametolewa, Basi na MD wa TANESCO na Bodi nayo itoke

    Usiseme inawezekana mkuu. Nakuambia kitu cha uhakika.
  10. K

    Ushauri kwa Waziri Dotto Biteko: Kama Makamba Ametolewa, Basi na MD wa TANESCO na Bodi nayo itoke

    Pengine hufaamu kuwa huyo mwenyekiti mzee (kama ulivyomwita wewe) na huyo mama uliyemtaja ni watu wa karibu sana wa mstaafu fulani!!!
  11. K

    Mbeya: Baada ya Polisi kumshikilia Msanii wa Nyimbo, Sifa Bujune Wenzake watoa wimbo wa Kulaani kitendo hicho

    Si huwa wanasema ni mlokole? Walokole nao huwa wanaiba kura?
Back
Top Bottom