Kwangu mimi na kwa wale wenzangu tusioegemea upande wa vyama vya siasa ni faraja kubwa kupata gazeti la MWANAHALISI linalotoka kila Alhamisi nchini Tanzania.
Kwangu mimi ni chombo pekee katika Print Media ambako naweza kupata uchambuzi makini{analytical} wa maswala mengi ya kisiasa na...
Mwabukusi kaongea ukweli mtupu. Watanzania hawana muda na mambo ya kujadili mambo ya msingi yanoyahusu maisha yao isipokuwa wana muda mwingi sana kwa ajili ya Simba na Yanga na watawala(hasa chama tawala) wanalijua hilo na wanatumia vizuri sana kisiasa na kwa manufaa yao huu ushabiki wa...
Leo nimejaribu kufungua account ya kimtandao ya Online Registration System (ORS) katika taasisi ya Business and Property Registration Agency(BPRA).Taasisi hii iko Zanzibar na inafanya shughuli zinazofanana na zile za BRELA.
Katika utambulisho wa mfunguaji akaunti kwa maana ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.