Leo nimejaribu kufungua account ya kimtandao ya Online Registration System (ORS) katika taasisi ya Business and Property Registration Agency(BPRA).Taasisi hii iko Zanzibar na inafanya shughuli zinazofanana na zile za BRELA.
Katika utambulisho wa mfunguaji akaunti kwa maana ya...
Mkuu R.K.O. Wewe ndiyo umewachambua Watanzania sawa sawa. Na ulichokisema ndicho watawala wanachokijua na kukikitumia kuwatoa Watanzania katika kufikiria na kuchambua mambo ya maana na ya msingi yanayohusu maisha yao. Formula ni moja tu .
Wape Simba na Yanga. Mwaga mamilioni kwa mojawapo ya...
Niwapongeze wana wa Mbeya. Mtatuletea ukombozi. Kwa mara ya kwanda kuna wananchi wameamka na kuweza kusema "HILI HATULIKUBALI" The dawning of a new era in Tanzania!!!!
Hivi karibuni jirani yangu huku mkoani alipata msiba wa kufiwa na mke wake. Kifo kilitokea hospitali iliyoko Dar es Salaam. Kwa kuwa kifo kilitokea Dar shughuli zote inabidi zifanyikie katika za ofisi za RITA Wilaya kulikotokea kifo. Hii ndiyo sheria ya RITA.
Alimtumia wakili...
Akiwa anajibu swali la mbunge katika kikao cha leo, kwa mara nyingine tena Waziri wa Afya amehimiza wananchi kujiunga na bima ya afya na hapo hapo akasema wako njiani kutangaza vifurushi (packages) vipya
ili kumwezesha kila Mtanzania kuchagua kifurishi kinachoendana na uwezo wake. Hii si mara ya...
Mlijitangaza sana kwa mbwembe kwamba kabla ya mwisho wa mwezi March 2019 mtakuwa mmeleta vifurushi vya aina mbali mbali ili kuwawezesha Watanzania wa viwango tofauti tofauti vya kifedha kujiunga. Tuko mwezi June sasa. Ahadi zenu zimeyeyuka?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.