Inalekea wazo ni zuri kwa sasa, lakini lipo kwa muda mfupi (short lived).
Lengo la kukwepa msongamano wa magari, ni kuondoa traffic lights zote. Mfano, kutoka airport kwenda changombe, au kutoka changombe kuelekea Kamata (au mjini) au kutoka Buguruni kwenda airport, na kinyume chake...
Ndugu wanajamii,
Kilichotokea, kimeshatokea. Ushauri kwa viongozi wetu bungeni:
Endapo hali kama hiyo ikijitokeza, si busara kwa spika kuendelea kufanya maamuzi kwamba Hoja imefutwa. Alichotakiwa kufanya, ni kuhairisha bunge bila kufanya maamuzi aliyoyafanya. Hii itasaidia kamati yake ya...
Pamoja na kujua kifungu, kwani zile sare zilikuwa na nembo ya JWTZ? siku hizi hizi nguo za kombati zipo mahala pengi. Pole sana muhusika kwani umekiri kosa.
Inawezekana kwamba serikali ilikuwa na nia nzuri ya kuongeza mikoa na wilaya zake. Lakini kwa sasa inaweza kuhairisha kutokana na hali ya fedha. Serikali ina majukumu mengi yaliyo ya dharula na mengine muhimu. Si vizuri kufanya yote katika hali hii.
Nadhani yapo mengi ya kujifunza, na hivyo kuchukua hatua katika uongozi wetu.
Maraisi wa Africa Mashariki hawakufika walituma wawakilishi, kwa nini? Tumekosa nini? Lile ambalo tumekosa tulifanyie kazi, au wao ndio wamekosea?
Onyesho la polisi wa mbwa na farasi kupambana na waandamaji katika...
Mkuu upo sahihi kabisa. Si hii tu, kuna kauli mbiu nyingi ambazo baadaye zinatuletea matatizo kuzidefend; k.m kuvua magamba, n.k. Ni ushauri wangu kwa wote wanaohusika, kuachana na desturi au tabia ya kutunga kauli mbiu mara kwa mara. Zinatuletea matatizo kuliko nia iliyokusudia.
Mungu ibariki...
Ndugu Wananchi,
Kitendo cha CDM kupeleka maoni au malalamiko yao kwa Raisi wa JMT, ni jambo la mafanikio sana. Ni kitendo cha busara na chema kwa Raisi pia kuwakubalia. Kama maandamo yangekuwepo, bado still malalamiko hayo angeambiwa mtu fulani ambaye ni Raisi.
Sasa hili limefanyika hata bila...
Mkuu, maadamu tumekubali siasa ya vyama vingi, ni vizuri kutolalamika na yale yanayotokea ali mradi wasivunje amani ya nchi na raia wake. Tunahitaji uvumilivu wa kisiasa hususani upande wa serikali. Katika vyama vingi tutaona na kusikia mengi ambayo tusingeweza kusikia katika nchi ya chama...
Naunga mkono uamuzi wa Raisi kukutana na CMD. Ushauri wa CC ya CCM kwamba akutane na vyama vingine ni kuvuruga nia nzuri ya kuleta maridhiano. Hatutaki Ikulu kugeuka sehemu ya kuvuta ni kuvute. Vyama vingine kuwepo ni dhahiri mkutano hautakwenda salama bila kuvunjika. Tunamwomba Raisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.