Recent content by kakunyute

  1. K

    MKASA: Nilimuua rafiki yangu mwaka 1990, ananitokea akinitaka nikatubu

    Nenda kituo chochote cha Polisi kawaeleze mkasa mzima Hiyo hali itatoweka
  2. K

    Kuna nini ndani ya moyo wa Lowassa?

    Anawaza safari ya matumaini na siyo safari ya uhakika
  3. K

    Msaada tafadhali; Nahitaji Helkopta ya kukodi Mwanza

    Eneo unaloishi ulidharaulika,maana yake hukuwa na nyumba ya maana pia Kabla ya kukuelekeza sehemu ya kukodi helcopter tuma kwanza pic ya mjengo wa maana unaomiliki baada ya kupiga bingo
  4. K

    Al-Shabaab wakamatwa tena Kilombero, watamba wapo wengi, Mhasibu TANESCO Kidatu ahusika

    Leiya,,risasi za juzi usiku maeneo ya nyandeo ni kweli baada ya kukamatwa wawili kati ya 12 wananchi walilazimisha wapewe wahalifu hao wanaemekana kuwa ni magaidi ili wawauwe hivyo basi police walilazimika kutumia risasi kuwatawanya Na sasa maeneo ya mkamba,nyandeo na kidatu kutembea mwisho saa...
  5. K

    Majambazi wavamia gari la Bonite (Coca Cola) Moshi na kupora pesa

    R.I.P Kampuni kubwa like BBL wanasafirishaje fedha bila police escort?,huu ni uzembe wa hali ya juu
Back
Top Bottom