Eneo unaloishi ulidharaulika,maana yake hukuwa na nyumba ya maana pia
Kabla ya kukuelekeza sehemu ya kukodi helcopter tuma kwanza pic ya mjengo wa maana unaomiliki baada ya kupiga bingo
Leiya,,risasi za juzi usiku maeneo ya nyandeo ni kweli baada ya kukamatwa wawili kati ya 12 wananchi walilazimisha wapewe wahalifu hao wanaemekana kuwa ni magaidi ili wawauwe hivyo basi police walilazimika kutumia risasi kuwatawanya
Na sasa maeneo ya mkamba,nyandeo na kidatu kutembea mwisho saa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.