kulikuwa na interview za post za accountants week 3 zimepita sasa. walishaita ndugu
QUOTE=mwana mnyonge;2875806]jamani naomba mnijuze presion air walitoa nafasi za Accountant vipi walishaita watu au bado?
wenu katika kutafuta kazi
ungesema kweli kaka? nimesikia applicants walikuwa 37,000 na vimemo usiseme...ilibidi zoezi liahirishwe na hawa waliopita ni juhudi za external agency ndio imefanya recruitment, na kama kuna wa vimemo basi ni wachache sana labda wale mapapa but most of them are guinune.
ndio kuna hao prentive assistants wameitwa pia, kuna jamaa yangu alikuja na barua yake ya kuitwa kwenye interview alitatafuta info/job description za prentivive assistant katika internet
ndugu waheshimiwa deageo na SBL wameanza mchakato kutokana na nafasi walizotoa hivi karibuni. nimekuwa na mawasiliano nao tangu majuzi hivyo someni emails zenu.
asanteni na all the best watakaitwa.
bwana mbweta nakushauri uende tu u never know, ila nimejifunza nini kutokana hizo data? ni kwamba huko tunakoelekea hali itakuwa si shwari. inabidi serikali ifanye kila liwezalo kutengeneza ajira hizo figure zinatisha hapo bado graduates wa mwaka huu hawajaingia katika soko la ajira
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.