kuwa makini sana na maneno yako. Dunia hadaa.
Nakushauri tafuta mme kwa vigezo hivi.
1>Tambua mazingira anayoishi
2>Tabia yake
3>kazi/shughuli anazofanya
vinginevyo unajidanganya.
kumbuka binadamu wote si sawa.
kuna waongo, laghai,tapeli na wasio waaminifu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.