Recent content by kakap

  1. K

    PhD ya Dkt. Rais Magufuli iko sahihi, uthibitisho huu hapa

    Ya kwako iko wapi mkuu?
  2. K

    Kamanda Sirro: Viongozi wa CHADEMA ni wazalendo

    Hiyo tarehe ni siku ya kwanza ya mwezi wa Maria, nothing will go wrong....
  3. K

    Prof. Muhongo: Magwangala yana sumu ya Zebaki, inahitaji umakini wakati wa kuyagawa

    Heshima yako mkuu. Wewe unastahili kuitwa great thinker....sio hao wanaojua kutukana tu kila wakionacho badala ya kutafuta kuelimika!
  4. K

    Prof. Muhongo: Magwangala yana sumu ya Zebaki, inahitaji umakini wakati wa kuyagawa

    Mkuu nahisi unapotosha, nijuavyo Mimi, mkuu wa nchi anavyo vyombo vya ushauri ambavyo kwa vyovyote vile watakuwa wamemweleza faida na hasara ya kuzuia au kuruhusu hayo magwangala yagawiwe kwa wananchi. Yeye akishatoa agizo kinachobaki ni wataalam kukaa chini na kibuni njia nzuri ya kutekeleza...
  5. K

    Hatimaye mabasi yote ya Kisbo yafungiwa rasmi

    Mkuu, mbona kampuni ya Shabiby wanazingatia mwendo salama na ni miaka sasa hatujasikia lolote baya toka kwao? Hatuoni tatizo ni kampuni na sio Dereva?
  6. K

    Kwanini CHADEMA wamechukia uamuzi wa Rais kuagiza wananchi waruhusiwe kuchekecha mchanga wa Migodi?

    Mkuu inawezekana Mbowe anawatumia kina TL bila wao kujijua kujikomba kwa wazungu ili at the end of the day wampe fedha za kujenga billicana mpya maana iliyopo inakaribia kuporomoka kutokana na uchakavu!
  7. K

    Kwanini CHADEMA wamechukia uamuzi wa Rais kuagiza wananchi waruhusiwe kuchekecha mchanga wa Migodi?

    Kwani wachimbaji wadogo si wanatambulika na wanayo maeneo yako?
  8. K

    Kwanini CHADEMA wamechukia uamuzi wa Rais kuagiza wananchi waruhusiwe kuchekecha mchanga wa Migodi?

    Ndio tatizo la msomi aliyeamua kuwa mwanaharakati mkuu!
  9. K

    Maandamano ya CHADEMA ya Wafuasi wa Dr. Slaa Jijini Mwanza

    mkuu kweli ww ni great thinker.....asiyeliona hili hajijui ni kundi lipi na sio mchambuzi wala mfuatiliaji wa mambo. big up mkuu!
  10. K

    Hamad Rashid, Zitto Kabwe na Mwigulu Nchemba (Comparative analysis)

    mkuu, kama umemwelewa vizuri mjenga hoja MWIGULU keshaonyesha kupevuka, hizo hadithi za nyuma unazotaka kuzirejesha hazina maana tena.
  11. K

    Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

    Mkuu umenena vema sana. Pili, kwa muumini yeyote wa dini atakubaliana na mimi kuwa hakuna 'roll modal' wa dini yeyote anayekubalika bila kuhojiwa na upande usiomkubali. Mathalani, wanaomwamini Yesu Kristo kuwa ni Mungu na Mwokozi inapingwa vikali na 'makafiri' (asiyeamini) na pia wanaoamini kuwa...
  12. K

    Kangi Lugola: Hata nikitofautiana na mwenyekiti wangu mradi naungana na wengi!

    Kwa wakristo lipo neno Yesu aliwaambia 'wanafunzi' (wafuasi) wake hamjui muombalo!!! chanzo kilikuwa ni wao kumwambia watamfuata kokote atakakokwenda siku zote! Sasa, Lugola anataka kusema kuwa mwenyekiti wake alikosea kujaribu kuwaonyesha wafuasi kuwa hilo wanaloliomba 'dimensions' zake zilivyo?
Back
Top Bottom