sio kweli ukawa wanamtamani Nape,yeue mwenyewe hajiwezi,lakini. ndg.HABARI YA MUJINI,tutaendelea kutawaliwa na watoto wa vigogo hadi lini??je watoto wa maskini na wakulima hawawezi kuiongoza hii nchi??
Ndugu zangu naomba msaada, nimenunua gari kwa mtu Hiace Super Custom nzuri sana, alikuwa anaitumia kwa safari za hapo Dar binafsi. Sasa nataka kuibadili kuwa ya biashara. Je;
1. Kubadili kadi isome jina langu
2. Kufungua faili TRA kulipa kwa awamu
3. SUMATRA ruti
4. Plate namba za biashara...
Ndugu zangu kwanza niwashukuu saana nilipata gari mlilonishauri Baada ya kifanyiwa uchambuzi wa kina hapa.
Naja Mbele yenu tena Naomba mwenye Hiace kwa ajili ya biasharaNamba za usajili C anijize nahitaji sana nina Mil.14.naomba saana ndugu zangu.
KUNA BWANA AMENITAPELI MIL.3,NIKAMPELEKA MAHAKAMA YA MWANZO SINZA AKASOMEWA MASHTAKA AKAKIRI NI KWELI,AKAAHIDI KULIPA NDANI YA MWEZI AMENIPA MIL.1.8 BADO MIL.1.2,TUNASUMBUANA SAANA.ALIKIRI KUWA ENDAPO ATALIPA KAMA ALIVYOAHIDI ACHUKULIWE HATIA KALI ZA KINIDHAMU NA HAKIMU AKASAINI.SASA...
Kelvin hio simu vp??pls jibu naihitaji saana am siriaz,kwa 310,000 nakupa no.0758216382,
hata kama imeshauzwa nitafutie iliotumika kidogo,Lg g2,HTC ONE na Samsung s3,pls Kaka.ubarikiwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.