Recent content by kaka km

  1. kaka km

    Ushauri: Serikali ondoeni kituo cha daladala cha Ubungo River Side, kinasababisha foleni isiyo ya lazima

    Naomba kushauri serikali iondoe kituo cha daladala cha ubungo river side kwani kinasababisha foleni isiyo ya lazima. Ubungo kuna flyover lakini foleni inayosababishwa na kituo cha riverside kama unatokea Buguruni inaondoa kabisa ladha ama raha ya uwepo wa ile flyover. Kutokea Mwenge kwenda...
  2. kaka km

    Naomba kujuzwa Gereji nzuri ya kufanyia Diagnosis Dar es Salaam

    Mkuu nilibadili oil nikaweka inayotakiwa na tatizo limeisha. Ahsanteni sana kwa msaada wenu wa ushauri.
  3. kaka km

    Naomba kujuzwa Gereji nzuri ya kufanyia Diagnosis Dar es Salaam

    Mkuu nakushukuru sana. Nitafanya hivyo weekend hii mapema sana.
  4. kaka km

    DPP akanusha habari ya kurudisha fedha za 'plea bargain' kwa Wariokiri Makosa na kulipa fidia

    Watu walimuelewa vibaya DPP. DPP alikua wazi toka mwanzo sema kuna tofauti ya kusoma na kuelewa. DPP alisema atawarudishia wale walioonewa na kuibiwa na hao waliozurudisha. Kwa mfano kama wewe uliiba pesa SACCOS yako kisha ukabanwa na DPP ukazitapika. Kuna hela inatakiwa irudi kwenye SACCOS...
  5. kaka km

    Naomba kujuzwa Gereji nzuri ya kufanyia Diagnosis Dar es Salaam

    Nisaidie codes zake na transport cost nijue kodi yake kisha nione kama naweza kuiagiza fasta.
  6. kaka km

    Naomba kujuzwa Gereji nzuri ya kufanyia Diagnosis Dar es Salaam

    Sawa mkuu. Wakati nafikiria kununua gearbox lazimapia nitibu tatizo la sasa.
  7. kaka km

    Naomba kujuzwa Gereji nzuri ya kufanyia Diagnosis Dar es Salaam

    Mkuu mimi sio mbishi. Ni kutokujua tu na mbaya zaidi fundi wangu nae hajui. Ngoja nibadili oil ya gearbo. Ni kwei hua naweka oil ya kawaida.
  8. kaka km

    Naomba kujuzwa Gereji nzuri ya kufanyia Diagnosis Dar es Salaam

    Ni kwei kabisa. Ina gear 6 na ni CVT. Nitaifanyia kazi mkuu. Hizi oil zinapatikana wapi?
  9. kaka km

    Naomba kujuzwa Gereji nzuri ya kufanyia Diagnosis Dar es Salaam

    Juzi hapa ndugu yangu mmoja alipeleka gari Toyota, vanguard pia akapewa invoice ya 40M.
  10. kaka km

    Naomba kujuzwa Gereji nzuri ya kufanyia Diagnosis Dar es Salaam

    Naipata wapi hii mkuu. Ahsante sana kwa ushauri. Nadhani wewe ndio unaweza kua umegundua tatizo. Service hua nafanya kwa wakati lakini wananiwekea hizi oil za gearbox za kawaida na sio za CVT. Je nikibadili oil hili tatizo litaisha?
  11. kaka km

    Naomba kujuzwa Gereji nzuri ya kufanyia Diagnosis Dar es Salaam

    Okay. Basi ngoja nikaicheki. Ahsante kwa ushauri na muda wako mkuu.
Back
Top Bottom