kama unampenda mkeo mweleze ukweli kuhusu wewe kufahamu mahusiano yao.
Ila mwambie umemsamehe na umuulize nini kimemfanya awe na mahusiano na huyo kijana friendly.
Huenda wewe kunamahala ukumtimizia ndomaana katereza.Kuacha mwanamke sio suruhu kama bado na yeye anakuhitaji
Sent from my...
Chadema imepoteza mwerekeo kwasasa wanaishi kwa kufuata matukio nasio kuibua matatizo ktk jamii.
Upinzani sasa ndembwendebwe hali mbaya rushwa na ufisadi havizungumzwi now ni video za kuchukuliwa wabunge na matamko yasiyo na tija kwa wapigakura wao na taifa kwaujumla
Watupatie taarifa ya kweli tu.maana inaonekana waz madaktar wa Kenya wameshindwa kuimarisha afya ya lisu.Hakuna sababu yakusema lisu anaendelea vzr wakati hakuna mafanikio yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukifikili kwakina hutakuwa namawazo yakiitikadi.lisu ni mtanzania na nikiongozi wa upinzani hakuna anayependa asiwepo. Ila tukubali tu kwamba kunawakati upinzani mnaturudisha nyuma kwakushindwa kukosoa na kutoa pendekezo kwa serikari baadalayake kila jambo linapingwa. Haya ni madhaifu makubwa...
Hii ndio siasa jamn.ukiondoa hayo mnayoyakemea hatakuwa na radha ya kuitwa siasa tena.
Waswahili husema''siasa ni mchezo mchafu''
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi nakubaliana na kauli ya mh.Raisi wa tanzania 2015-2020.Vutapicha wanawake wakiruhusiwa kusoma wakiwa wajawazito itakuwa nishule ya namna gan . Mjamzito nimgonjwa na hapaswi kuchujuliwa sawa na wanafunzi wengine.Vyuoni tu tunaona mimba zinavyowapeleka wadada sasa sekondari na msingi...
Tatizo hatuna demokrasia yakweli.ndoiomaana wazungu wanatugawa kirahisi mno.Yapaswa kukubari pale unapoona mwenzio kafanya vzr na kukosoa pale anapoteleza.Kwahili la magufuli kuzuia makinikali pekee ni mwanzo mzuri wakuzuia upotevu wa asilimali zetu.
Sasa napata shaka kuona nduguzangu upinzani...
Uko sahihi lakini unasimama kwa misingi yakihitikadi.ukiangalia historia yanani alihusika miaka ya nyuma kwa nchi yakidemokrasia hatutakamata mtu.Tuanze sasa kwakupambana, kukusoa, napengine kushauri vizazi vijavyo visije tuona wapumbavu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.