Nafikiri ni mapema mno kutimiza yote hayo kwa muda mfupi huu alioingia madarakani! hata Roma haikujengwa kwa mara moja jamani hata mwezi bado! nashukuru umekiri kuwa ameanza vizuri nchi ilisha oza ndugu yangu tumuombee tunaweza tukawa tumepata masiha
Nisera ya Chama au yake tu na je hata waliomweka atawapanda? Je utakumbuka Habari za kuvua gamba? Lilishuka? Naitaji gia nyingine kuniaminisha kekundu kuwa keupe
lup
CA Mheshimiwa hapa inawezekana pasitoshe kukueza habari hizi. kama upo daa tuwasiliane kupitia no 0713353467 hata hivyo, soma vitabu vingi vya uchumba hadi ndoa ndoa ni zaidi ya pesa au uchumi lkn itoshe kusema mke. mwema hutoka kwa bwana na biblia inatuonya kuishi na wake zeta kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.