Wana jamvi kuna dhihaka imekithiri juu ya afya ya Mh Lowassa katika majukwaa mbalimbali ya kisiasa. Kuna wengine wamekuwa wapofu wa kufikiri kiasi kwamba wakiwa majukwaani badala ya kunad Sera zao jinsi gani watatuvusha wao wako bize kubeza afya ya mtu.
Ninashangaa nchi imekwama mfumo wa...
Aliyekamatwa nojba wangu ni Mwenyejiti wa Chadema magu nahisi harskati zake za kukiimarisha chama chake ndizo chsnzo cha kesi hii ta kusadikika...
anaitwa
silyvester Makanyaga
Ninathubutu kutamka kuwa vijana tunaliangamiza taifa kwa haya yafuatayo. Vijana wa leo badala ya kuwaza Taifa letu linatoka wapi na linaelekea wapi, sisi tumekuwa vinara wa kuhubiri mauwaji na wapuuzi kibao kushabikia.
Mfano kuna madiwani walisema CCM walipanga kuwalipua akina Slaa kule...
Wale madiwani waliokubali kumlipua Slaa wakashindwa kutekeleza kisa hawakupewa mkwanja. Je wangepewa mkwanja wao mngeyasikia hayo? Hao hawafai katika jamii kwani baada ya kuona wamefanya biashara isiyolipa ndipo wakaamua kuweka waz mikakat yao haramu. Kwann wamekaa nayo rohon miez yote hyo? Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.