Recent content by Kaisali Pyongyang

  1. K

    Natafuta mke mwenye VVU

    hujavuka mto unatukana mamba. Ipo siku
  2. K

    Zitto ashinda pingamizi dhidi ya CHADEMA, sasa Baraza Kuu kuamua uanachama wake

    kifupi nimekwazika sana kwa maamuzi yao ya upendeleo zidi ya Zitto. Na hii naamini kabisa ikulu imeingilia uhuru wa mahakama. kwa mfumo huu ukombozi bado sana hapa tanzania.
  3. K

    Zitto, tatizo mashabiki wako wengi tunakuwa maofisini tofauti na wa Lema na Mbowe

    zitto namshauri ajiunge ccm kwani anamahaba na ccm. kwa mfano wilaya ya igunga ina madiwani 2 wa chadema na haina mbunge hata wa viti maalum. leo zitto mnasema amejenga chama wakati kwenye jimbo lake ana diwan mmoja wa chadema. pamoja na umaarufu wake kapata diwan mmoja ktk jimbo lake. hata...
  4. K

    Kutoka Mahakama Kuu kanda ya Dar: Usikilizwaji wa uamuzi wa pingamizi la Zitto

    Nguvu ya Mamba ipo kwa Maji. taratibu mamba kaanza kupoteza nguvu
Back
Top Bottom