Recent content by kaijage kilembwe joshua

  1. K

    Waziri Mahiga: Mkataba kusaka walioficha mabilioni Uswisi wasainiwa Tanzania

    Serikali ya Tanzania na Uswisi zimesaini Mkataba utakaowawezesha Makachero wa Tanzania kwenda nchini Uswisi na kufanya uchunguzi katika mabenki ya huko ili kupata taarifa sahihi za walioficha mabilioni toka Tanzania. Mkataba huo umesainiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...
  2. K

    Kwanini CCM na CHADEMA wanaweweseka kivuli cha Zitto Kabwe?

    Sasa Taarifa ya CAG kuhusu NSSF imetoka. Taarifa hiyo ya Ukaguzi uliofanywa na kampuni ya Ernest and Young Pia imeorodhesha Wajumbe wote wa Bodi akiwemo Mwanasheria Mkuu wa Serikali. CAG ametoa hati safi isiyo na suala lolote la msisitizo Kwa NSSF. Mwenyekiti wa bodi ya NSSF wa sasa prof Sam...
  3. K

    Kwanini CCM na CHADEMA wanaweweseka kivuli cha Zitto Kabwe?

    -------------------------------------- Kwa Mara ya Kwanza Vijana wa CCM Lumumba Wameungana na Vijana wenzao Makamanda wa Bilicanas kumtaka Kiongozi wa ACT WAZALENDO Zitto Kabwe ajitokeze hadharani kujibu upuuzi wa kinachoitwa tuhuma. Vijana hawa hawafahamu kuwa Zitto ni Kiongozi Muadilifu na...
  4. K

    Lini Viwanja vinavyomilikiwa na CCM vitakuwa chini ya umiliki wa Serikali Kuu au Halmashauri husika?

    Mheshimiwa Raisi tunaomba wakati tunasubiri ujenzi wa uwanja mpya wa mpira utakaojengwa Dodoma na Mfalme wa Morocco,waambie CCM warudishe Wizarani viwanja vya mipira walivyokumbatia nchi nzima. Viwanja hivi vilijengwa na pesa za watanzania na siyo vya CCm. Viwanja vinaharibika. Wizara...
  5. K

    Upepo wa upinzani waanza kupotea Tanzania

    Upepo wa upinzani hauvumi vizuri kama ningepata nafasi ya kuwashauri ningeliwashauri wakiunganishe chama cha ACT na Zitto kuwa sehemu ya UKAWA. Lakini ubinafsi huo wa viongozi wa CHADEMA ndio unatufanya wapinzani kuwa watumwa kwa CCM miaka yote tutaishia kusema tunaonewa katika viongozi wetu...
  6. K

    Lowassa na Sumaye wawe funzo kwa Nape Nnauye

    ------------------------ Pengine Zama za Kina Augustine Lyatonga Mrema, kuhama kutoka CCM kwenda Upinzani (NCCR MAGEUZI) ni zamani Sana kiasi cha vijana wa umri wangu na Nape kukumbuka sawasawa. Lakini inatosha kusema kwamba Mrema hakuwa mtu Mdogo ndani ya Serikali ya CCM Mrema amepata kuwa...
  7. K

    Muswada wa Huduma za Habari: Nape amshukia Zitto, Zitto naye amjibu

    .., nimeshawishika na majibu ya Zitto Zubeiry Kabwe kwa sasa.., wakati akimjibu Nape Nnauye bandiko lake.., Baada ya kuusoma muswada wa sheria wa huduma za habari, wa mwaka 2016.., ulio katika lugha ya Kiswahili.. .., awali nilianza kushawishika kuwa Zitto labda kajitungia kwa sababu...
  8. K

    ACT wazalendo yapongezwa kila kona ya nchi

    Ingekuwa mwisho ni Kigoma hata wewe uliye nje ya Kigoma usingeijua ACT-WAZALENDO
  9. K

    CHADEMA waanza kuiga mambo ya ACT Wazalendo

    Wataiga sana tu;kwani walizoea siasa za matukio
  10. K

    ACT wazalendo yapongezwa kila kona ya nchi

    Kongamano la Chadema liliishia wapi?
  11. K

    CHADEMA waanza kuiga mambo ya ACT Wazalendo

    Halafu inasemekana Kongamano la chadema halitakuwepo tena;wameshindwa kuliandaa
  12. K

    Dr. Slaa na Zitto wakiwa CHADEMA

    WANAPENDANA KWA MASLAHI, WANACHUKIANA KWA MASLAHI Mwaka 2012, Zitto Kabwe akiwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Tanzania Bara, alituhumiwa kwa rushwa bungeni. Waziri wa Nishati na Madini, Sospeter Muhongo na aliyekuwa Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Eliakim Maswi ndio...
Back
Top Bottom