Serikali ya Tanzania na Uswisi zimesaini Mkataba utakaowawezesha Makachero wa Tanzania kwenda nchini Uswisi na kufanya uchunguzi katika mabenki ya huko ili kupata taarifa sahihi za walioficha mabilioni toka Tanzania.
Mkataba huo umesainiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...
Sasa Taarifa ya CAG kuhusu NSSF imetoka. Taarifa hiyo ya Ukaguzi uliofanywa na kampuni ya Ernest and Young Pia imeorodhesha Wajumbe wote wa Bodi akiwemo Mwanasheria Mkuu wa Serikali. CAG ametoa hati safi isiyo na suala lolote la msisitizo Kwa NSSF. Mwenyekiti wa bodi ya NSSF wa sasa prof Sam...
--------------------------------------
Kwa Mara ya Kwanza Vijana wa CCM Lumumba Wameungana na Vijana wenzao Makamanda wa Bilicanas kumtaka Kiongozi wa ACT WAZALENDO Zitto Kabwe ajitokeze hadharani kujibu upuuzi wa kinachoitwa tuhuma.
Vijana hawa hawafahamu kuwa Zitto ni Kiongozi Muadilifu na...
Mheshimiwa Raisi tunaomba wakati tunasubiri ujenzi wa uwanja mpya wa mpira utakaojengwa Dodoma na Mfalme wa Morocco,waambie CCM warudishe Wizarani viwanja vya mipira walivyokumbatia nchi nzima.
Viwanja hivi vilijengwa na pesa za watanzania na siyo vya CCm.
Viwanja vinaharibika.
Wizara...
Upepo wa upinzani hauvumi vizuri kama ningepata nafasi ya kuwashauri ningeliwashauri wakiunganishe chama cha ACT na Zitto kuwa sehemu ya UKAWA.
Lakini ubinafsi huo wa viongozi wa CHADEMA ndio unatufanya wapinzani kuwa watumwa kwa CCM miaka yote tutaishia kusema tunaonewa katika viongozi wetu...
------------------------
Pengine Zama za Kina Augustine Lyatonga Mrema, kuhama kutoka CCM kwenda Upinzani (NCCR MAGEUZI) ni zamani Sana kiasi cha vijana wa umri wangu na Nape kukumbuka sawasawa.
Lakini inatosha kusema kwamba Mrema hakuwa mtu Mdogo ndani ya Serikali ya CCM
Mrema amepata kuwa...
.., nimeshawishika na majibu ya Zitto Zubeiry Kabwe kwa sasa.., wakati akimjibu Nape Nnauye bandiko lake..,
Baada ya kuusoma muswada wa sheria wa huduma za habari, wa mwaka 2016.., ulio katika lugha ya Kiswahili..
.., awali nilianza kushawishika kuwa Zitto labda kajitungia kwa sababu...
WANAPENDANA KWA MASLAHI, WANACHUKIANA KWA MASLAHI
Mwaka 2012, Zitto Kabwe akiwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Tanzania Bara, alituhumiwa kwa rushwa bungeni.
Waziri wa Nishati na Madini, Sospeter Muhongo na aliyekuwa Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Eliakim Maswi ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.