Tukizingatia mwezi wa kumi na Moja Kila mtanzania aliyetimiza vigezo vya kupiga kura anayo haki ya kupiga kura hapa Tanzania, swali langu ni je!
Serikali imechukua mkakati Gani wa kukabiliana na hii changamoto kwa wanachuo ambayo katika kipindi hiki Cha uandikishwaji katika daftari la wapiga...
Mimi sijui kesi zinaendeshwaje lakini najiulizaga mtu kitendo kinaonekana kakifanya hapo anatetewa Nini 🤔 kwanza hata wewe wakili wa watuhumiwa unatetea uovu kisa pesa🥺
An Hawa viongozi hawajapotelewa na watoto wao kutokana na ulinzi walionao tayari that's why wanatutreat like nonsense, kodi zetu ndo zinawalipa ndo zitutese? Sometimes nakaa nawaza huyo kiongozi ukiachana na cheo ananizidi Nini Mimi au mwenzetu anamiguu minne au haendi maliwatoni ama🤔
Dah! Wanachuo wa Mwaka wa kwanza 2023/2024 wanalia kwa kupewa mkopo kiasi kidogo sana almost 70% wamepewa kiasi kidogo na wengine 20% kukosa kabisa ila bajeti ya uwanja wanaiweka juu sana au ndo michezo kwanza elimu baadae🤔
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.