Habari zinazotufikia hapa makoa makuu ni kwamba viongozi wetu wa ngazi mbali mbali wa mikoani na wilayani wanakamatwa na kupekuliwa nyumba zao. Hotel mbali mbali zinazomilikiwa na wapenzi wa CHADEMA zinapekuliwa kila baada ya muda fulani.
Taarifa kutoka mkoa wa Kagera zinasema polisi wamekuwa...
Leo nimesikiliza DW anasemwa kwamba ameshuka na kamatakamata ya wapinzani na kufungia vyombo vya habari vimeshusha imani ya wananchi na kuleta wasiwasi nchini
Habari zinazotufikia hivi sasa ni kwamba mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema amegoma kula akiwa chini ya ulinzi wa polisi kwa siku ya tatu leo jijini Arusha.
Taarifa zilizotumwa na viongozi wa mkoa wa Arusha kuja makao makuu ya Chadema ni kwamba Lema hajawahi kula wala kunywa chochote tangu...
Wale wanaodhani Lowassa ni mwanasiasa wa mchezo wapime maneno ya rais Magufuli. Kwa mjibu wa gazeti la MTANZANIA la leo Magufuli alikaririwa akisema "nashukuru jubilee hiii ya mzee Mkapa imenikutanisha na waziri mkuu mstaafu Mh Lowassa na kupeana naye mkono. Ni kama muujiza"!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.