Recent content by Kaguta

  1. K

    Kamatakamata ya viongozi wa CHADEMA nchi nzima imeshika kasi

    Makaburu walikuwa wakatiri kuliko Ccm
  2. K

    Kamatakamata ya viongozi wa CHADEMA nchi nzima imeshika kasi

    Kweli elimu yako ni ya hapa na pale
  3. K

    Kamatakamata ya viongozi wa CHADEMA nchi nzima imeshika kasi

    Ina uhusiano gani na kamatakamata inayoendelea?
  4. K

    Kamatakamata ya viongozi wa CHADEMA nchi nzima imeshika kasi

    Habari zinazotufikia hapa makoa makuu ni kwamba viongozi wetu wa ngazi mbali mbali wa mikoani na wilayani wanakamatwa na kupekuliwa nyumba zao. Hotel mbali mbali zinazomilikiwa na wapenzi wa CHADEMA zinapekuliwa kila baada ya muda fulani. Taarifa kutoka mkoa wa Kagera zinasema polisi wamekuwa...
  5. K

    Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?

    Leo nimesikiliza DW anasemwa kwamba ameshuka na kamatakamata ya wapinzani na kufungia vyombo vya habari vimeshusha imani ya wananchi na kuleta wasiwasi nchini
  6. K

    Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?

    Hii ni adhabu ya udhaifu wa Ccm
  7. K

    Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?

    Nadhani mleta mada alikuwa sahihi sana
  8. K

    Hali ya Afya ya Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema mashakani baada ya kugoma kula tangu akamatwe

    Kutomchagua mbunge kama Lema inabidi tuulize rekodi za Milembe kama jina lako halipo
  9. K

    Hali ya Afya ya Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema mashakani baada ya kugoma kula tangu akamatwe

    Habari zinazotufikia hivi sasa ni kwamba mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema amegoma kula akiwa chini ya ulinzi wa polisi kwa siku ya tatu leo jijini Arusha. Taarifa zilizotumwa na viongozi wa mkoa wa Arusha kuja makao makuu ya Chadema ni kwamba Lema hajawahi kula wala kunywa chochote tangu...
  10. K

    Edward Lowassa uso kwa Uso na Rais Magufuli kwenye Jubilei ya ndoa ya Rais Mstaafu Benjamin Mkapa

    Wale wanaodhani Lowassa ni mwanasiasa wa mchezo wapime maneno ya rais Magufuli. Kwa mjibu wa gazeti la MTANZANIA la leo Magufuli alikaririwa akisema "nashukuru jubilee hiii ya mzee Mkapa imenikutanisha na waziri mkuu mstaafu Mh Lowassa na kupeana naye mkono. Ni kama muujiza"!
Back
Top Bottom