Haina shida hata ikiitwa BAKHARESA POWER FACILITIES,raia twahitaji umeme. Kumbuka hii "mwenye nacho ataongezewa na asiekuwa nacho....... Ndio hivooo" duniani hatupo sawa, ulitambue hilo mapema na uliishi.
Mhhh hizi vurugu za CBG ,nendendi kulee kwenye ukurasa wa kitabu. Huku ni jukwaa la weledi twajadili maisha na jinsi ya kujikwamua na matatizo yanayoisonga jamii yetu. Nieleweke kwa sura hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.