Recent content by Kagolo

  1. Kagolo

    Mbunge Joseph Mbilinyi (Sugu) ashikiliwa na Polisi Dodoma!

    Naanza kushuhudia Uongozi wa MAJUHA!.
  2. Kagolo

    Mbunge Joseph Mbilinyi (Sugu) ashikiliwa na Polisi Dodoma!

    Kwahiyo unaona wanaonyesha UIMARA au UDHAIFU zaidi?. Jaziba bila akili ni UDHAIFU kupita yote.
  3. Kagolo

    Tuwashitaki Oman kwa biashara haramu ya utumwa

    Mkuu Kijakazi hii mimi ndiyo naiita UTUMWA WA KUDUMU mpaka tukijitambua wote na tukaachana na UJINGA WA KUTHAMINI MILA na DESTURI za Wengine kisa IMANI!. UPUZI MTUPU
  4. Kagolo

    Picha: Mwigulu Nchemba atikisa mkutano wa uchaguzi (udiwani) kata ya Kimandolu jijini Arusha

    Napenda kuwakumbusha ninyi Mtela Mwampamba na Juliana Shonza mnapopata posho zenu mkalipe mkopo wenu wa Elimu ya juu ili na wengine wasome ili kujitafutia kama ninyi!.
  5. Kagolo

    Mwenyeki CCM Wilaya ya Bagamoyo atimuliwa

    Kwani aliyeuziwa naye si ni wa Chama Cha Zamani au?
  6. Kagolo

    Majibu ya Mwigulu Nchemba kwa vijana wanaohoji ''uheshimiwa'' zake

    Kweli Mwigulu Nchemba umefikia hapa?. Kweli wewe ni Nembo na Mwakilishi wa wana-Iramba wakiwemo wanawake (mama yako na dada zako)?. Najiuliza kama unaishi na mke!.
  7. Kagolo

    Majibu ya Mwigulu Nchemba kwa vijana wanaohoji ''uheshimiwa'' zake

    Mwongoze na Mwigulu Nchemba kusali sala hii maana anakoelekea ni kubaya atachomwa moto!
  8. Kagolo

    Majibu ya Mwigulu Nchemba kwa vijana wanaohoji ''uheshimiwa'' zake

    Nimeona niweke mambo sawa hapo juu kwenye bandiko lako Mwigulu Nchemba ni mwiba mchungu kwa wake za watu (kule Igunga) na mabinti(Edna kipindi mwanafunzi chuo cha Ndala) sasa aende kwenu akawaparure m**a na d**a zako mpaka ngozi zichubuke!.
  9. Kagolo

    Majibu ya Mwigulu Nchemba kwa vijana wanaohoji ''uheshimiwa'' zake

    Kipi kimemchafua zaidi Mwigulu Nchemba kwa mtazamo wako wewe:- 1. Hizo unazoziita attack?. 2. Majibu yake dhidi ya hizo attack?.
  10. Kagolo

    Majibu ya Mwigulu Nchemba kwa vijana wanaohoji ''uheshimiwa'' zake

    my web kwanza hongera kwa kuuona ukweli kuwa Mwigulu ni mchafu japo wanaweza kuwepo wachafu zaidi yake. Pili; hapa swala sio kujulikana bali ni kujivua nguo mwenyewe kwa kushindwa kujitunzia siri zake na kuwaheshimu wengine. Kama kiongozilazima ajue kila anachokifanya anawaongoza wengine pia...
  11. Kagolo

    Majibu ya Mwigulu Nchemba kwa vijana wanaohoji ''uheshimiwa'' zake

    Kwangu mimi na ajabu na aibu pia!. Eti na wewe Mheshimiwa umeona kitu hiki ni cha ajabu?.
  12. Kagolo

    Majibu ya Mwigulu Nchemba kwa vijana wanaohoji ''uheshimiwa'' zake

    Mkuu Mh. Mwigulu Nchemba na wewe wameku-Lwakatare?. pole sana cha muhimu umejitokeza umekana hayo majibizano!. Je ni kweli ulimgegeda huyo Edna na kuliona hilo kovu lake?.
  13. Kagolo

    Majibu ya Mwigulu Nchemba kwa vijana wanaohoji ''uheshimiwa'' zake

    Mkuu OKW BOBAN SUNZU Bado unahitaji ufafanuzi zaidi?. Hapa unamwona huyu akiwazia ki-liberal2 tu.
Back
Top Bottom