Huyo ndiye mwiguru mchemba,kwiiiii.
wewe unasema ubunge! wakati wanamtaja taja kumrithi jk unafanya mchezo na bongo nini mzee? hapa kila kitu kinawezekana.Kila siku huwa nawambia wanakijiji wenzangu!kama huyu kawa Mbunge hata mimi naweza,tena kwa ustadi sana
Karipio kwa lipi kama siyo kukushangaa wewe unayetaka karipio.
Ina maana mapenzi na mtu yanaweza kukutoa hekima kiasi hiki? Tumia hata ID nyingine kukaripia hii kama unadhani utafukuzwa kazi
Tofautisha ndoa na utoto wa kuandika mambo ya kitoto kwenye mitandao ya jamii.Hawa makada utawalinganisha na kumpotezea muda mtu kwa ndoa na watoto halafu ukaamua kukimbia na kwenda kwa mwanamke mwingine au kumtongoza mwanamke kwa hongo ya ubunge na kumpatia mimba wakati huo huo ukiwa umeoa?.
Kabla hujasema jambo, jiangalie kwanza kama wewe na chama chako kama mu-wasafi.
Karipio kwa lipi kama siyo kukushangaa wewe unayetaka karipio.
Kilichokufanya mpaka ukaingia kwenye maongezi ya watu wanaofahamiana ni nini kama siyo kupigia chapuo udaku. Hukuridhika kuingilia maongezi ya watu mpaka ukaamua kuiba kabisa kwa njia ya copy & paste.
Ndg wana JF SALAAM. Nimepata alart kuwa kuna mjadala unaendelea fb. Account hiyo iliingiliwa nikafungua nyingine. After sometime ikafunguka bila kuwa imetumika. I can see hiki ndicho kilikuwa kinatafutwa. I know nothing on what has been written on fb. Surely some people are working hard to turnish my image but the reality will always surface. Siasa za maji taka hizi. Even the conversation reflect somebody aimed at ruining somebody's personality. Nakushukuru ndg yangu ulienishtua
Mkuu wewe ni public figure. Lazima uwe mwangalifu, na kama kuna watu wanaingilia mawasiliano yako ni lazima uchukue hatua mara moja vinginevyo tutaamini hayo yanayowekwa kwa jina lako.Ndg wana JF SALAAM. Nimepata alart kuwa kuna mjadala unaendelea fb. Account hiyo iliingiliwa nikafungua nyingine. After sometime ikafunguka bila kuwa imetumika. I can see hiki ndicho kilikuwa kinatafutwa. I know nothing on what has been written on fb. Surely some people are working hard to turnish my image but the reality will always surface. Siasa za maji taka hizi. Even the conversation reflect somebody aimed at ruining somebody's personality. Nakushukuru ndg yangu ulienishtua
Mwigulu Nchemba atawawewesesha sana.
Kwa sasa mnafuatilia kila kitu anachofanya. Hatutashangaa kama mtakuja na story hata za mara ngapi anakwenda chooni kuonyesha ni jinsi gani mlivyo pauka na kuishiwa hoja.
Kitu gani hicho unachokiona cha ajabu kwa watu wanafahamiana au kikundi kuwasiliana kwenye uso wa kitabu.
Wewe unayeshangaa inabidi tukushangae kwa jinsi ulivyo nyuma kimawazo na kifikra.
Mkuu, hapo ndipo unaonekana unatumika vibaya.Karipio kwa lipi kama siyo kukushangaa wewe unayetaka karipio.
Kilichokufanya mpaka ukaingia kwenye maongezi ya watu wanaofahamiana ni nini kama siyo kupigia chapuo udaku. Hukuridhika kuingilia maongezi ya watu mpaka ukaamua kuiba kabisa kwa njia ya copy & paste.
Mkuu wewe ni public figure. Lazima uwe mwangalifu, na kama kuna watu wanaingilia mawasiliano yako ni lazima uchukue hatua mara moja vinginevyo tutaamini hayo yanayowekwa kwa jina lako.
Facebook ukiwatumia ujumbe kuwa akaunti yako imeingiliwa wanaifunga mara moja.
Ndg wana JF SALAAM. Nimepata alart kuwa kuna mjadala unaendelea fb. Account hiyo iliingiliwa nikafungua nyingine. After sometime ikafunguka bila kuwa imetumika. I can see hiki ndicho kilikuwa kinatafutwa. I know nothing on what has been written on fb. Surely some people are working hard to turnish my image but the reality will always surface. Siasa za maji taka hizi. Even the conversation reflect somebody aimed at ruining somebody's personality. Nakushukuru ndg yangu ulienishtua
Mkuu Mh. Mwigulu Nchemba na wewe wameku-Lwakatare?. pole sana cha muhimu umejitokeza umekana hayo majibizano!.Ndg wana JF SALAAM. Nimepata alart kuwa kuna mjadala unaendelea fb. Account hiyo iliingiliwa nikafungua nyingine. After sometime ikafunguka bila kuwa imetumika. I can see hiki ndicho kilikuwa kinatafutwa. I know nothing on what has been written on fb. Surely some people are working hard to turnish my image but the reality will always surface. Siasa za maji taka hizi. Even the conversation reflect somebody aimed at ruining somebody's personality. Nakushukuru ndg yangu ulienishtua
Ndg wana JF SALAAM. Nimepata alart kuwa kuna mjadala unaendelea fb. Account hiyo iliingiliwa nikafungua nyingine. After sometime ikafunguka bila kuwa imetumika. I can see hiki ndicho kilikuwa kinatafutwa. I know nothing on what has been written on fb. Surely some people are working hard to turnish my image but the reality will always surface. Siasa za maji taka hizi. Even the conversation reflect somebody aimed at ruining somebody's personality. Nakushukuru ndg yangu ulienishtua
unauliza makofi kituo cha police.ninashaka hata yule binti wa mbozi aliyetoka chadema atakuwa keshapitiwa na huyu mheshimiwa!