Recent content by Kagira

  1. K

    JamiiForums Tanzania Mizengo Pinda: Mnaitaka Tanganyika ipi?.

    Mkuu ukisema tunadai TANGANYIKA tusioijua kwakuwa tumezaliwa hatukuikuta unamaanisha Historia ya Nchi yetu iliyo ktk vitabu na kumbukumbu mbalimbali ni uwongo?,km jibu ni historia yetu ni ya ukweli mjue wengi wetu tumeisoma na kuelewa na ndio maana wananchi wengi wamependekeza serikali tatu,na...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Demokrasia katika Afrika

    Nchi nyingi za bara la Africa zimebadili maana halisi ya Demokrasia kutoka Democracy is a government of the people by the people for the people na kuwa Democracy is a government of the sum people by the sum people for the sum people. Unathani nchini mwetu Tanzania demokrasia nayo imekuwa katika...
Back
Top Bottom