Pale Bukoba mwaka wa uchaguzi uliopita kuna mgombea wa chadema misenyi alijitoa kugombea baada ya kunyimwa msaada katika harakati za kugombea ubunge, baada ya nguvu kupewa Rwakatale tu. I wish huo ni udhaifu, jamaa aliacha, akaendelea na mambo yake. Nafikili wanachama wa chadema mnaugua ugonjwa...