Recent content by Kadoone

  1. K

    Mabadiliko ya sheria za uteuzi yalipaswa kuongelewa na kina IGP wenywe sio mpaka wasemewe na Gwajima

    Kukaa kimya nalo ni jibu, kuliko kuexpourse ujinga ulionao mitandaoni. Yaani ikifikia hapo mana yake unataka waasi siyo🤔
  2. K

    PreGE2025 Video za Askofu Gwajima zafutwa Youtube

    https://youtu.be/e4hmrF1z-DY?si=OhdUIb0hH0u58MQ_
  3. K

    Hii Kauli ya Samia leo imeweka wazi tatizo lipo wapi. Watu Wenye Akili wasikitika sana

    Mama y Huyu hateui, analeyewa CV tuu, hivyo yeye hana kosa wenye kosa ni wale wanaomletea CV za JITU/MAJITU
  4. K

    Jitu alilolichukua kutoka huko nje na kuliteua ni nani hasa?

    Nilikuwa naisubiria hii comment. Mijitu imekomaa, eti kasoma nje jamani.
  5. K

    Mkopo wa bilioni 2.85 chama cha walimu ziliafikiwa chini ya rais Leah Ulaya, walimu tumeshtuka, box la kura litaamua

    Hakuna chama cha waoga kama waalimu! Uwingi wao hauwasaidii chochote. Poleni sana.
  6. K

    PreGE2025 Bila VPN hauwezi kuingia X (Twitter) Tanzania. Vipi huko mnaotumia Facebook na Instagram?

    Hata Jamii forum ikifika mpaka October ipo wazi, ni neema. Note: Mimi siyo Mtabiri wala Nabii
  7. K

    Mahakama iangalie jinsi watuhumiwa wanavyo-behave kabla, wakati na baada ya mashauri yao. Leo Mahakama imevuna aibu kesi ya Lissu

    Tukiwaambia kuna makusudi ya kumchafua mama hamuelewi siyo? Kwamba Mahakama hawayajuwi hayo unayoyaoigia kelele????
  8. K

    PreGE2025 Yaliyojiri Kesi ya Lissu: Mahakama imeahirisha shauri hadi 02/06/2025, mtuhumiwa amerejeshwa rumande

    Japo naona ukakasi kutumia neno "UJINGA" lakini acha nilitumie tuuu! Kuendelea kumshikilia huyu LISU ni kumpa umaarufu asiostahili! Labda kama mamlaka za kipolisi na zinazomshitaki zimeamua kumpa umaarufu huo basi na ifahamike hivyo.
  9. K

    Ushindi Wa Professa Janabi Wanibubujisha Machozi Ya Furaha nikiwa Nimepiga Magoti Mbele Ya Picha Ya Rais Samia Kumshukuru kwa Ushindi huu aliotupatia.

    Kwani Lucas wewe ni mwenyeji wa mkoa gani??😅😅😅😅😅😅😅. Kila siku unabubujikwa na machozi tuuuu si utaishiwa maji mwilini🤔
  10. K

    Elimu yetu inabidi kutazamwa upya. Haiwezekani mtu ajiite Prof huku hajui kiingereza

    Jina lako linasadifu! Huenda kweli wewe ni Simba mwenye manyoya😅. Kila mtu ashikilie alipo. Lugha ina sehemu tatu ili uijuwe ( Kuandika, Kusikiliza na Kuisoma). Huenda unayemsema kakosa component hiyo moja ya "kuongea" ila kuandika na kusoma yuko vzr. Wigwa Nshimba ya bhuyenze😅😅😅
  11. K

    Elimu yetu inabidi kutazamwa upya. Haiwezekani mtu ajiite Prof huku hajui kiingereza

    Kwani wewe ni mwalimu wa somo gani Literature form 3B au? Karine hii unalingia na kujidai kwa lugha za kigeni? Kama siyo ulimbukeni ni nini!. Tunachoangali ni nini ulichonacho kichwani. Mawazo na fikra ya tafiti zako ulizofanya zinafaida gani kwa jamii na taifa lako. PhD hazipimwi kwa kuongea...
Back
Top Bottom