Japo naona ukakasi kutumia neno "UJINGA" lakini acha nilitumie tuuu! Kuendelea kumshikilia huyu LISU ni kumpa umaarufu asiostahili! Labda kama mamlaka za kipolisi na zinazomshitaki zimeamua kumpa umaarufu huo basi na ifahamike hivyo.
Jina lako linasadifu! Huenda kweli wewe ni Simba mwenye manyoya😅. Kila mtu ashikilie alipo. Lugha ina sehemu tatu ili uijuwe ( Kuandika, Kusikiliza na Kuisoma). Huenda unayemsema kakosa component hiyo moja ya "kuongea" ila kuandika na kusoma yuko vzr. Wigwa Nshimba ya bhuyenze😅😅😅
Kwani wewe ni mwalimu wa somo gani Literature form 3B au? Karine hii unalingia na kujidai kwa lugha za kigeni? Kama siyo ulimbukeni ni nini!. Tunachoangali ni nini ulichonacho kichwani. Mawazo na fikra ya tafiti zako ulizofanya zinafaida gani kwa jamii na taifa lako. PhD hazipimwi kwa kuongea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.