Kuna mambo mengi ya kitaifa yanatakiwa kufanywa na si huu ujinga wenu,hebu acheni kutufanya watoto wadogo hapa kila mtu aunde kikundi chake au vivunjwe vyote hii nchi mnaleta ushabiki lakini nawaambia mtakuja kujuta kwani hizi kero zenu na misifa ya kwenye vyombo vya habari itakuja kuzaa majibu...
Kama kuna upofu wa uzembe bandarini na upotoshwji wa taarifa ni waandishi kuiandama tpa hata kama upotevu umetokea ticts coz wengi wao hawajui tofauti ya hivi vyombo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.