Recent content by Kadogoomzalendo

  1. K

    JamiiForums Tanzania Paul Kagame: Nashangaa Afrika mashariki tunalima pamba na kuuza Nje ila tunaagiza nguo za mitumba kutoka nje

    Nafikiri ni busara kujibu kwa hoja kuliko kutukana
  2. K

    JamiiForums Tanzania Marehemu Magufuli angekuwepo leo Tanzania tungekua tunauza nguo zilizotumika (mitumba) nje ya nchi

    Huu ndiyo ukweli. Mungu aendelee kuipumzisha roho ya JPM pema peponi
  3. K

    JamiiForums Tanzania Je, huu ni mwanzo na mwisho wa Kagame?? Marekani kuisaidia kijeshi DRC!

    Umeandika ukweli mtupu, ila Afrika hatujielewi. Mmarekani na nchi za ulaya kwa ujumla hawatoi msaada bila wao kufaidika, na wao ndiyo chanzo cha kukosekana kwa amani duniani. East Afrika tumefikiwa na uchonganishi wa hao jamaa dah! inauma sana.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Ni lini tutataka nchi zilizotutawala, dini zilizotudanganya, kutuibia na kutuharibu zitulipe fidia kwa uharibufu na hasara vilivyotusababishia?

    Uzi huu una mashiko, Afrika tumekuwa kama mti uliotenganishwa na shina lake, kama tungeachwa tukakua wenyewe na mila zetu na tamaduni zetu naamini sasa hivi tungekua tumeendelea sana. Mbinu iliyotumika imefanya waafrika wengi kutojikubali na kutojiamini. Kila jambo zuri linaonekana linafanywa na...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Nauliza, Mwalimu Nyerere nchi ilimshinda kuongoza?

    Umenena vema👏🏽👏🏽👏🏽
  6. K

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Ukitaka kukata tiketi SGR unaambiwa treni imejaa, muda wa kuondoka treni inakuwa wazi

    Dah! Kama ni kweli basi wahusika watakuwa wa ajabu sana.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Lowassa acha kuhadaa Watanzania, sema ukweli wako juu ya kuchukia umasikini

    Ama kweli umenena muungwana,katika watanzania wachache waliojaaliwa kuona mbali na wewe ni mmojaw wao,ila watanzania tumerogwa kwa kuwa hatufanyi upembuzi yakinifu kufuatia mwenendo wa siasa za nchini na wanasiasa wetu zaidi tumekalia ushabiki wa vyama na mtu anayegombea, kuliko kujiridhisha...
  8. K

    JamiiForums Tanzania BASATA na TCRA mmulike uchochezi, matusi na tuhuma zisizo za msingi

    napata mashaka na analysis yako,napata shida na maadili unayoyatetea,maana kama unafuata maadili basi ungeweka post zote kuhusu shilole, star tv, roma and so many more ambazo zinavunja maadili ili upembuzi yakinifu ufanyike,Vinginevyo ungenyamaza.
  9. K

    JamiiForums Tanzania BASATA na TCRA mmulike uchochezi, matusi na tuhuma zisizo za msingi

    Umeona eeh! halafu kila siku wanasema nchi ina demokrasia,uhuru wa kuongea,ukiongea ukweli kosa,ukiongea upuuzi ni sawa is it? it is time to let a free will democracy take place, we are tired with everything going on in this country,viva Roma viva.
  10. K

    JamiiForums Tanzania BASATA na TCRA mmulike uchochezi, matusi na tuhuma zisizo za msingi

    Hahahaaaa! watanzania oyeeee!!!!!!!! umenigusa kwa majibu mazuri uliyompatia,badala ya kuwashauri viongozi waisikilize hiyo nyimbo ili wajirekebishe eti ifungiwe ni kweli? nyimbo za mapenzi kibao zisizo na maadili hazifungiwi kwanini wimbo kama huu wa Roma unaowakilisha kilio cha watanzania...
  11. K

    JamiiForums Tanzania BASATA na TCRA mmulike uchochezi, matusi na tuhuma zisizo za msingi

    Viva roma viva
  12. K

    JamiiForums Tanzania BASATA na TCRA mmulike uchochezi, matusi na tuhuma zisizo za msingi

    Alichoongea Roma ni ukweli mtupu,kuna nyimbo za mapenzi zina uchafu mtupu na uvunjifu wa maadili zinapigwa kila siku na hazikufungiwa,Nyimbo inayoeleza ukweli na inakosoa ili tujirekebishe kama taifa, mnataka ifungiwe?Watanzania tusiotaka kuambiwa ukweli! Ni tatizo. ningelikuwa nina uwezo...
Back
Top Bottom