Ndio uone watz wengi ni empty set, wanafuata mkumbo tu na wamejaa chuki za kipumbavu wala hawajielewi. Huyo kigogo anayewajaza ujinga yeye yupo zake nje huko hata ikitokea baya halitampata, waache waendelee kuombea mabaya as if nguvu za kukabiliana nayo wanazo
Acha waendelee kujipa moyo mkuu ila ndani ya nafsi zao wanajua fika hawataing'oa ccm madarakani, ndio maana mgombea wao ana tiketi ya ndege trh 30 oct. Kaja kuvuruga aman kisha asepe zake majuu atuachie majanga lkn hilo halitatokea kamwe!
Yap niliondoka na mikono mitupu, watoto tulikuwa nao wawili wakati huo walikuwa wadogo first born 3yrs na sec born 1.5yrs. Nikaenda kuanza upya. Yes am happy with my present, yeye nilisikiaga ameoa tena na kwakweli sijui maisha yake yanaendaje kwa sasa
Ndio tulikuwa na kiwanja, magari ma2 na min supermrket, tulipoulizwa kuhusu mali tulizochuma mi nilitaja lkn mwenzangu akasema hajachuma chochote na mimi. Nikashukuru Mungu nikaomba mahakama asomeshe na kutunza watoto tu kama hajachuma chochote na mimi.
Mimi nilikuwa muhanga wa talaka nilipotengana na mzazi mwenzangu. Alikuwa na rafiki yake ambae ni hakimu wa kiteto. Akamuuliza namna tunaweza talikiana akasema mimi ninatakiwa kwenda mahakamani kifungua kesi ya madai ya talaka. Nilipoenda nikapewa maelekezo ya kufuata kufungua file na kulipia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.