Wananchi kutoa malalamiko ya kero zao Kwa Makonda ni ushahidi tosha Kwamba ,wateule wa Rais wameshindwa kumsaidia Rais. Wateule wa Rais wanakuka Bata baadala ya kutatua kero za wananchi.
Tatizo Pole pole haamini katika siasa za ushindi wa jukwaani, tofauti na wenzake akina Kikwete, Kinana. Yeye anaamini katika siasa za Wizi , virugu na siasa za ujambazi za uibaji wa kura . Sasa hizo sio siasa za kidemocrasia, yeye na jambazi mwenzake Bashiru wapo katika mlengo wa siasa...
Nchi inaendeshwa Kwa njia ya VICOBA, kukopa Kila inapoitwa Leo, ubunifu wa ukusanyaji wa Mapato Kwa kutumia vyanzo vya ndani ,umeachwa kabisa ,sasa ni mwendo wa kukopa kuendesha nchi.Ndugai aliona mbali
Watu tunachohoji kwa nn apewe mwarabu, bila kufuata taratibu za manunuzi, tenda walitangaza wapi. Sheria ipo very clear kuhusu kushindanisha .Huyo Dp kapataje hill deal, . Utarabu ungefuatwa pasingekuwa na shida, Kwa makosa kama haya anayoyafanta mama ,nchi hii haitakuja kutawaliwa tens na Rais...
Hawa waarabu wakiruhusiwa kuja ,tutapata taabu,bora hata wachina , hawa waarabu tutafirwa wananchi wote .bora wachina wanahofu ya Mungu .lakini hawa waarabu tujiandae wote kuwa wanawake
Nyinyi ndio wazanzibar mnaonufaika na matunda ya Tanganyika, mpo huku Tanganyika mnafanya kazi za watanganyika, kuna shule moja huku kwetu tumeletewa ajira mpya za mwaka Jana wapemba 2 , kuna wakuruenzi ,madas na wakuu wa wilaya . Soon tutaweka hapa ,tutaweka picha ya mmoja baada ya mmoja na...
Tanganyika inakopa matumizi yanafanyikia Zanzibar, Wazanzibar mnakula jasho letu, Mungu anawaona. Yaana ela za Tanganyika zinaendeleza Zanzibar, nafas za ajira za Tanganyika wamewekwa wanzaxibar, tumeletewa walimu toopu wa znz,.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.