mi siishangai sana serikali yetu maana suala la ufuatiliaji ni dogo sana,kama kuna watumishi wa uma kibao wamekufa na bado mishahara yao inatoka na kuwanufaisha wachache wenye madaraka,suala la huyo mwanajeshi ni kawaida,jana kuna mwingine kakamatwa kenya tena yeye alijiimpersonate kama...
hata kama kalitoa kenyewe general rule ni kwamba yeyote atakaefanya ngono na msichana chini ya miaka 18 kisheria amebaka maana huyo ni minor ambaye hawezi kutoa maamuzi sahihi mpaka afike kwenye age of majority(sexual offences special provision act)
most of them are not graduating bse of the administrative inefficiency, incomplete final and research submissions is just a scapegoat,students have been solving their exams complaints since from the beginning i.e reseatin for exams n redoing their course works,they've obtained new results which...
Ushindi kwa chadema 2015 ni ndoto,wana maandalizi mazuri mijini but wamesahau kuwa statistics zetu zinaonyesha population kubwa iko kwenye rural areas compared to urban ones.
Just like any other developing state. So local support ni muhimu sana kwa CDM kuing'oa CCM. Hawa wenzetu wamejiimarisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.