Kama kuna kitu serikali ya ccm inakosea ni kuzani kuwa tanzania ni mali ya ccm...sasa ule mda wa kulindana kama chawa kwenye koti la mzee umekwisha hapa tunataka uwajibikaji na wasilete masihara vinginevyo rais aanze kutafuta jina la waziri mkuu mpya...tunataka ccm wawe mfano jumatatu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.