Nimeambiwa na bwana mmoja ya kwamba fedha za basket hazijaja, zaidi ya miezi 9 sasa, huko kwenye vituo vya huduma za afya hali ni mbaya sana. Hata kwetu wazabuni hatuna matumaini ya kulipwa madeni yetu tunaodai vituo vya huduma za afya.
Hongera kwa kupata ajira. Bunda ni wilaya nzuri ya kuishi wala hakuna shida. Vyakula vipo vya kutosha, vyumba vya kupanga kuanzia elfu 30 hadi 50 unapata shumba kizuri kikiwa na umeme na maji. Pia Bunda ipo kwenye barabara kuu ya kutoka Mwanza kwenda Musoma/Tarime/Sirari. Umbali wa kutoka Bunda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.