ni aibu kwetu, tena sana, ndg zetu hawa wa rwanda, tumewapokea wakiwa wakimbizi, wamepigana tena vita mbaya kabiya their country nearly collapsed, leo maprofesa wetu hawa wanaenda eti kujifunza uchumi, jamani aibu hii tutaficha wapi nyuso zetu? Rwanda isiyo na madini, mbuga za wanyama, hawana...