Mfano ;- wewe
umempenda demu ,,
ukamtongoza akakubali ,,
akakuambia uje
nyumbani ,, ukafika kwao
ukamuuliza ,, unakaa na
nani '? akakujibu :- naishi
na bibi ila hayupo hapa
yupo hospitali kalazwa ,,
mkalala kitandani ,,usiku
wa manane mara mkasikia
hodi ,, Binti akakuambia
jifiche...