Mkuu vodacom ni ya CCM kama hujui.Rostam alitaka kuwadhulumu kama alivyofanya kwa channel ten na mali zingine za chama.unaweza usiamini lakini ndio fact hiyo.
Wanasema watapigia chama cha upinzani inaonekana hawa wana ccm tarime hawasomi kusikiliza clip za Pole pole au wanapuuzia.hata wakikipigia chama cha upinzani ni Nec Nida ccm wanaamua.
Sio makampuni hata shule binafsi zinachukua waalimu na kuwafanyia interview ya mwezi au miezi miwili unapewa kufundisha masomo fulani kama ndio inteview yako kumbe unacover topics bila kujua then unaambiwa umefeli interview.usanii ni mwingi sana kwasasa na hakuna pa kusemea wala kulalamika.ajira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.