Chadema wanalopoka sana
Tutauza mbaka figo zetu kumtibu lisu
Alafu kila kukicha wanaomba miongozo kwa nini lisu apewi stahiki zake za matibabu?
Sasa mlivyo sema mtauza figo zenu vipi au figo zimekwisha!!!
hao ccm wamepata fulsa ya kukusanya fedha wamepiga tilion 1.5
Nyie chadema mmepewa kidogo kwa ajili ya maendeleo ya taifa
Na nyie hiko hiko kidogo mlichopewa nacho mmeamua kukipiga kama wenzenu,
Yaani ccm wanafuga kuku wamechukua banda moja la kuku wamegawana kuku watu wachache bila wenzao...
Taarifa zimepelekwa ubalozini ili yule jamaa amuhudumie mtoto wake ikishindikana kupatikana baba yake basi yule mtoto wa kichina atalelewa na serikali ya Tanzania.
NLD YA MAKAIDI VEPE SIO UKAWA TENA
Kushirikiana na ukawa Zito ukawa ni wasaka tonge leo na yeye kageuka msaka tonge
Sihasa ni ukafiri kabisa leo unapinga kesho unaunga mkono jambo lile lile ulilolikataa
tena inaweza kuwa hata kuna watu wamepoteza maisha kwa kukataa kwako.
Ustadh juma, mwanafunzi wa chuo kikuu ambaye alikuwa ni imam katika msikiti wa Kurasini alipigwa risasi na polisi kwa makusudi wakisema ni jambazi alitaka kupora katika ATM
Waislam wamepiga kelele sana kuhusu uonevu huu na zulma aliyofanyiwa Imamu juma
Nyie wakristo mlisema yule ni gaidi
Leo...
Ukitaka kujua nguvu ya Uislam
Jifunze lile tukio la Sumbawanga mkuu wa mkoa kazuia ujenzi wa msikiti usiendelee kujengwa kwa amri kutoka juu
Sheikh wa mkoa katoa tamko uvumilivu mwisho j, tano
Wakubwa wakatikisika kweli kweli
Lakini nyie mdebwedo mmetoa walaka wenu mmeona umekosa nguvu sasa...
Wakati Wagalatia wanalumbana wenyewe kwa wenyewe sisi waislam tumekaa kimya
Tunatafakuri hatma yenu
hizi nyaraka/ sijui walaka ungetolewa na masheikh nadhani hivi sasa wangekuwa wameungana na wenzao kule Ukonga, na kupewa kesi ya ugaidi
Ila kwa kuwa mfumo unachokonoa kutaka kujua kwa nini...
Ushauri wa bure ukitaka kutumia muda wa maongezi kwa raha kabisa bila wizi tumia TTCL kifurushi cha mwezi 4500 muda wa maongezi tu mitandao yote,
Japo unapewa na mb 500 lakini zingatia muda wa maongezi
Kuhusu bando la internet ukitaka kutumia Internet kwa raha zako na furaha zako youtube, fb...
Wangekuwa ni masheikh sasa hivi wangekuwa wanachezea chupa za makalio
Lakini kwa sababu nchi hii ina mfumo Kristo hao maaskofu wameachwa tu wanafanya harakati
Kuna tofauti gani ? Kati ya masheikh wa uwamsho kufanya harakati za kisiasa kule Zanzibar za kudai mamlaka kamili Zanzibar mbaka hivi leo...
Jusa fb ameandika wale wageni wao wametoka Ujerumani,
Bila kutafuna maneno wale ni viongozi wa mtandao wa mashoga, (Cuf walishawai kusemwa na Chadema na wao ni wanachama wa huo mtandao.
Amkawii kusema maagizo kutoka juu pindi sugu akipalamia kalandinga
Ikitokea sugu ameshinda kesi sifa zote atapewa wakili msomi kibatala
Ukitaka kuzijua akili za Watanzania leta uchaguzi , kelele nyingi mno lakini utasikia waliojitokeza kupiga kura ni asilimia 17% tu kati ya wapiga kura wote...
Serikali msisubiri kinuke, ndio mtumie nguvu kubwa
Fanyeni kama anavyofanya Nkurunziza kila anaye amasisha ama vurugu au anayepandikiza chuki baina ya mtanzania na mtanzania mwingine dawa ni paah , kimya kimya ndivyo anavyofanya Nkurunzinza kule Burundi na hivi sasa Burundi ipo salama fagia...
Wakazi wa kinondoni wanasema jimbo la kinondoni ni la cuf tu chadema wamekuja kumuhalibia cuf ushindi wake
hata hivyo inasemekana kuna vikao vya siri vimefanyika magomeni katika ofisi mpya ya maalim seif
Katibu mkuu wa cuf maalim seif pamoja na mwenyekiti wa facebook tawi la CUFmtandaoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.